SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,562
Kikojoleo Cha mjini ni tabu sanaWazee baba juzi nimekula pisi mbovu khaaaaaaa ..niwieni radhi kwa kuwaangusha..kwanza kafupi,hakataki kuoga kanasema kanaogaga saa kumi kamili tu,kanalia lia njaa asubuhi asubuhi,dah najuta mimilol
Ujumbe makini Sanaa Kwa maneno machacheHabari,
Sio kila pisi kali inayopita mbele yako ni ya kula. Wanawake wa sasa wako Very cheap lazima ujivalue.
Kuna muda condom ni muhimu sana.
Gono, Kaswende, Genital Warts.
Utakula kwa Elfu 5 utajitibu kwa elfu 50
Huwezi kusema eti wanawake wa sasa wako cheap. Hapa unatukana wake zetu hata mama yako. Huwezi kujumlisha wanawake utadhani umeongea nao. Hivi kweli na rais wako naye ni cheap? Acha ujinga kufanya mahitimisho jumuishi bila hata chembe ya ushahidi. Hii licha ya kuwa matusi, ni zaidi ya ujinga wa kawaida.Habari,
Sio kila pisi kali inayopita mbele yako ni ya kula. Wanawake wa sasa wako Very cheap lazima ujivalue.
Kuna muda condom ni muhimu sana.
Gono, Kaswende, Genital Warts.
Utakula kwa Elfu 5 utajitibu kwa elfu 50
Sahihi mkuuHabari,
Sio kila pisi kali inayopita mbele yako ni ya kula. Wanawake wa sasa wako Very cheap lazima ujivalue.
Kuna muda condom ni muhimu sana.
Gono, Kaswende, Genital Warts.
Utakula kwa Elfu 5 utajitibu kwa elfu 50
Hili ni janga kabisa yaani picha ya uchi mke wa mtu anamtumia mtu ujue huyo amekosa thamani ya staha za kuwa mke wa mtu kabisa" roho hii radhi lakini mwili ni zaifu " tutakumbushana sana hivi vitu lakini siku hizi wanaume tunapitia changamoto kubwa unashangaa umetumiwa nudes na mke wa mtu alafu unajaribu kukausha kwa hekima anakuuliza mbele za watu akikuona " ule mzigo nilio kuonyesha unaupa asilimia ngapi? " Just imagine .........kiukweli ukikosa kujisimamia kidogo tu!! Unajifedhehesha milele
Kuna mzee alioa wake wawili na akazaa watoto 6 nyumba kubwa na nyumba ndogo akazaa 12 lakini watoto wote ni bright kuanzia wa kwanza hadi wa mwisho yaani zinawaka balaa kwa hiyo hakuna relation ya 100% ya unachokisema ,umeleta nadharia za kilokole zaidi ambazo nyingi huwa hazina uhalisia ukitaka tudadavue kwa kina nipo tayariAlijisemea mchungaji wa kanisa flani maarufu la KKKT.... Watu wanadhani ukiambiwa usizini ni kwa sabbu ya magonjwa ya zinaa, sijui Ukimwi... Sio hayo tu. Uzinzi ni mlango mkubwa sana wa shetani kumshambulia mtu ama familia nzima. Hasa eneo la afya na uchumi.
Unaposex na asiye mke wako, kuna spiritual transaction inafanyika. A.k.a utabeba kila tatizo la huyo mwanamke ulielala nae kuanzia kizazi cha nne mpaka kufikia yeye. Yani kama babu yake alikua mwizi..umebeba roho ya wizi, kama mama yake hawakusoma kwao..au walikataa shule..unaibeba ile roho..unashangaa watoto wanadeteriorate kwenye elimu, kama baba yake alitapeli watu..kazi zako utafanya na hutaona faida...yani umejifanyia muamala wa matatizo na uchafu wote...
Ukibisha sitashangaa...lakin nikuulize..hujawahi ona mtu kaoa mwanamke afu anapata mafanikio...kwa sabbu huyo background iko njema na ukichunguza upande wa huyo mke wake yawezekana kuna aliyesimamaga katika imani kuvunja na kuharibu maroho yote ya kurithi na yawezekana huyo mwanamke pia ni mtu wa kusali ama kuswali.
Sasa wewe mwenzangu na mie hurogi, husali afu unat***a ovyo...kusudi la kuumbwa unaliacha unafata tamaa. Nakwambia ni lazima uharibikiwe tu. Nikitazama mifano michache ya baba zangu kadhaa..ambao walioa mke mmoja lakini wakaja kuchepuka...na kupata hata mtoto nje...walileta ukame kwenye familia sana. Tena ukame haswa. Maisha yalikua magumu, kula kwa tabu..shule tukasoma kibishi. Mpaka mama zetu walipoumia sana...wakaombana msamaha..wakaamua kutulia, na mama zetu kusali sana....ndo Mungu akaondoa utasa wa kiuchumi kwenye familia zetu..ndo atleast kuna ahueni.
Tukirudi kwa babu zetu...walioa wake wawili wengine watatu...lakini nikiangalia trend...wake wa pili na kuendelea....watoto zao...no direction. Wameish maisha ya kanyaga twende..bora liende...mbaya zaidi wakazaa nyumbani, na watoto wao wakazaa nyumbani...no blessings...ni wachache sana waliofanikiwa na hao waliamua kuutafuta Uso wa Mungu na kuomba toba ili Mungu asamehe ule uovu.
Kwahiyo am not saying itaapply kwa wote...lakini ni heri kutembea katika njia za Mungu kuliko kufatisha namna ya dunia hii....unless uwe mwanga...lakin wewe mwenzangu na mie pesa ya tabu bado unaenda kuichuma laana nyingine hasa kama mke wako kasimama katika haki, mmechuma nae mafanikio na alikua na wewe tangu mwanzo..afu unajitetea tamaa akati yeye katulia..huyo mama akidondosha chozi...sisemi kitu!! Pima haya maneno kama si yako wewe pita. Kama ni yako..jifunze kitu!!
#em nikanywe zangu supu#
Kabisa.....utabeba roho zote chafu na laana za watuMbali na magonjwa, hii tabia ya kumega-mega kila mwanamke unajibebea tu mikosi, nuksi na gundu. Unajitia unajisi tu...
Kifungu pleaseImeandikwa;
“ Pasipo Maono watu huacha kujizuia “
“ Pasipo maono watu huangamia”
Without vision people perishes.
Asomaye na afahamu.
Watu wengi hawajachanja,badala yake wanakuja kwenda hospitali wakati tayari ini liko kwenye hali mbaya na mwishowe ni kurudishwa nyumbani KUSUBIRIA,huku wakipewa hyocine.Tuwe makini,magonjwa yanapoteza raslimali pesa pamoja na muda wa wanaouguza halikadhalika na wanaouguzwa.Homa ya ini kuna chanjo, acha woga dogo
kuna ile drug resistant Gono, noma sana muulize Mose,
mb<><> inapukutika kama haina akili nzuri
unakunywa powerCef mpaka utie akili, ukipona 150k imekatika
Mimi siku hizi nimeachana na papuchi,mdomo unatosha na ni mtamu kuliko papuchi.
Huwa wanapiga magoti kisha namalizia haja zangu huko,sitaki matatizo mie.
Ipo siku utaleta uzi hapa au utakua unasoma hii comment yako huku unajisikitikia..Mi siwezi kuacha mbusus ipite hivi hivi!
Maisha yamekuwa magumu mno, nilishuhudia mke wa mtu tena mtumishi wa umma mwenye ajira yake akikokotwa na bodaboda ati kisa ana madeni mengi kwenye vikobaWanawake wa sasa wako Very cheap lazima ujivalue.
Mzee haipo huyo siku hata kwa bahai mbayaIpo siku utaleta uzi hapa au utakua unasoma hii comment yako huku unajisikitikia..