" roho hii radhi lakini mwili ni zaifu " tutakumbushana sana hivi vitu lakini siku hizi wanaume tunapitia changamoto kubwa unashangaa umetumiwa nudes na mke wa mtu alafu unajaribu kukausha kwa hekima anakuuliza mbele za watu akikuona " ule mzigo nilio kuonyesha unaupa asilimia ngapi? " Just imagine .........kiukweli ukikosa kujisimamia kidogo tu!! Unajifedhehesha milele
Tamaa na Ulimbukeni ni chanzo kikubwa. Wanawake ni wengi na sio kila unaemuona mbele yako ni lazima upite nae. Dakika moja inaweza kuleta majuto Maisha yote