Sio hadithi za Shigongo hizi. It is true story guys

Pumba ndio hizi unazotuletea wewe, lakini kwa taarifa yako hapa hata pumba tunazipembuwa na chuya zitaonekana. unaleta Kid story halafu unaambiwa ukweli unataka kuruka Kimanga!! sasa wewe kama siyo FALLA uitweje?

JB WISER... kama huishi Tandale kwa Tumbo,utakuwa unaishi Yombo Vituka au Vingunguti. Tofauti na hapo utakuwa unaishi Nanjilinji au Ndutumi.
 
vizur xana kka ..hata mimi nina girlfrnd wangu tuna miezi 6 toka tuwe na mahusiano ya kimapenzi na yeye aliniambia ni bikira mpaka leo cjawah ku do na ye sex cz aliniambia mpaka tufunge ndoa ..so na wewe vumilia tu kaka kama mimi
 
vizur xana kka ..hata mimi nina girlfrnd wangu tuna miezi 6 toka tuwe na mahusiano ya kimapenzi na yeye aliniambia ni bikira mpaka leo cjawah ku do na ye sex cz aliniambia mpaka tufunge ndoa ..so na wewe vumilia tu kaka kama mimi
Vipofu wawili wanaoneshana njia matokeo yake nini!!??.....
 
Inategemea Na yeye atakavyofikiria. Wengine watakuona nyanya wengine MUME mwema, mstaaarabu. Sasa liko kwake hilo Na sio sie.
 
JB WISER... kama huishi Tandale kwa Tumbo,utakuwa unaishi Yombo Vituka au Vingunguti. Tofauti na hapo utakuwa unaishi Nanjilinji au Ndutumi.
Sijakuelewa bado mantiki ya hili Bandiko lako, George Simbachawene leo ameapishwa kuwa Naibu Waziri na ni mkazi wa Vingunguti, i mis some point here.

Alafu second unapaswa kuwaomba radhi wakazi wa maeneo uliyoyataja maana nia yako ni kuuaminisha umma kwamba wakazi wa maeneo hayo ni Abnormal!!
 
Huyo dem atakuwa kakuzarau sana na inabidi fanya juu chini utembee na ili eshima yako iweze kusimaa bila hivyo atakuona wewe aisimami.
 
Huyo dem atakuwa kakuzarau sana na inabidi fanya juu chini utembee na ili eshima yako iweze kusimaa bila hivyo atakuona wewe aisimami.

ngoja,leo at night nitamjaribu kuomba apple. Afu ntaona ata react nini!
 
Jamani nina demu wangu tunapendana sana,ila mapenz yetu hayana mda mrefu hata miez 6 bado. Sasa jana kuamkia leo alitoka kazini kwake amechelewa, nikampitia nikamshawishi twende wote geto kwangu akalale kwao ataenda kesho, make hajawai kulala kwangu wala hatujawahi ku have sex.

Basi akaniambia naenda sawa ila plz tusigusane, kama dada na kaka, nkamwambia poa! Akakubali, akaja tukaenda wote geto. Tukalala, sikumgusa mpaka kukakucha, tena kitanda kimoja. Na wala yeye hakunisumbua japo kuna mda msee yangu alikuwa ana wake up!

Nikavumilia mpaka cku ikaisha. Na huyo huyo ndo nataka aje awe mama watoto wangu huko mbeleni!

Sasa je, najiuliza atanichukuliaje? Ataniona mstaarabu kwa kutovunja sharti lake? Au atanihisi simpendi au sijui mambo hayo? Maana cjamuuliza amenihisije kwa kuwa mkarimu vile, nasubiri wana Jf waniambie ukweli. Changia as much as u can!..

that shows its not about sex that drove you to her, manake kama una mipango nae ya baadae bas when time comes ile ze dead mende na "ouh yeeah baby" zitakuja sana, yes,
and a true gentleman must have his own stands, big up joh
 
You dd the best bro.coz huwa wanatuona kama sisi wapenda (NGONO TU)
THEN SEX somtym Z NOT evrthin bro.big up
 
Jamani nina demu wangu tunapendana sana,ila mapenz yetu hayana mda mrefu hata miez 6 bado. Sasa jana kuamkia leo alitoka kazini kwake amechelewa, nikampitia nikamshawishi twende wote geto kwangu akalale kwao ataenda kesho, make hajawai kulala kwangu wala hatujawahi ku have sex.

Basi akaniambia naenda sawa ila plz tusigusane, kama dada na kaka, nkamwambia poa! Akakubali, akaja tukaenda wote geto. Tukalala, sikumgusa mpaka kukakucha, tena kitanda kimoja. Na wala yeye hakunisumbua japo kuna mda msee yangu alikuwa ana wake up!

Nikavumilia mpaka cku ikaisha. Na huyo huyo ndo nataka aje awe mama watoto wangu huko mbeleni!

Sasa je, najiuliza atanichukuliaje? Ataniona mstaarabu kwa kutovunja sharti lake? Au atanihisi simpendi au sijui mambo hayo? Maana cjamuuliza amenihisije kwa kuwa mkarimu vile, nasubiri wana Jf waniambie ukweli. Changia as much as u can!..

Atakuhisi mgonjwa. Mbona huwa kazi ndogo kama siku nyingine unaanza kwa kumkumbatia na kumsemesha kwa kumsia joto lako zuri nyonyo zako nzuri nitakapo kuoa nitakuwa nafanya hivi kiuno chako kizuri yaani napenda tuoane mapema ili niwe ninafanya hivi baadaye analegea na kuomba mchezo yeye mwenyewe
 
Atakuhisi mgonjwa. Mbona huwa kazi ndogo kama siku nyingine unaanza kwa kumkumbatia na kumsemesha kwa kumsia joto lako zuri nyonyo zako nzuri nitakapo kuoa nitakuwa nafanya hivi kiuno chako kizuri yaani napenda tuoane mapema ili niwe ninafanya hivi baadaye analegea na kuomba mchezo yeye mwenyewe

kweli wewe ni qualifier
 
Hii ni pure Shigongo. kwani wewe ulipomwambia akalale kwako ulikuwa una malengo gani?.

Kingine ni kwamba uwezo wako wa kuchombeza ni below 10%, iweje kitu kiko zero distance halafu unagugumia maumivu usiku mzima.

badala ya kuugulia maumivi the whole night angetakiwa amchape bibie na mjamaaa au sio?
 
Kaka utaambiwa meng,ila miongon wetu tumepitia hali hii na baada ya hapo tulipendwa zaid na sasa ni baba lao.
Akina mama wanapenda mwanaume anae wasikiliza,heshim hisia zao na mwenye ahad za kweli,hapo mwanamke utamdaka kama mlevi.
Mim nasema we shujaa.
 
wewe ni mwanaume wa shoka na unaheshimu zaidi makubalino . pia unaweza kuongoza mwili wako na hisia zako na huongozwi kwa hisia na tamaa za kimwili .mwanaume wa shoka ni yule amabaye ubongo wake huongoza mwili na moyo wake.mlicho kubaliana ndicho ulichotekereza , wewe unafuraha na mpenzi wako anafuraha na umejenga heshima kubwa sana na atakuheshimu sana .
 
Hongera sana ni wachache wavumilivu, umejiongezea maksi zakuwa mume bora.
 
Back
Top Bottom