Sio CCM, Sio Rais Samia wala TANESCO wanaleta mvua, Umeme wetu ni Hydroelectric power tuvumilie inyeshe

===

Wasalaam JF,

Naenda moja kwa moja kwenye Maswali yangu matatu kwa wachochezi.

1. Ninyi mnaolalamika na kumlalamikia Rais wetu mchapakazi Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kunaupungufu wa Umeme huku mkifahamu fika kuwa nchi yetu hii asilimia kubwa vyanzo vyake vya Umeme ni vya "maji" na sote tunafahamu nchi nzima mvua bado hazijaanza kunyesha na nikweli tunafahamu si rais wala Serikali | TANESCO wala CCM ndio wenye kuleta mvua ila Mungu, Sasa lawama hizi zote ni kwa faida ya nani?

2. Pili, Kama tunakubaliana kwamba Si Rais wala CCM wanaweza kuleta mvua kwanini basi hivi vyama Uchwara vya Upinzani wanataka kuitumia mipango hii ya Mungu ya Ukame kama turufu yao kubwa ya kisiasa?

3. Nitajieni mwaka mmoja tu ambao Tanzania haikuwa na mgao wa Umeme na Mimi nitawatajia awamu ya rais isiyokuwa na mgao wa kutisha wa umeme kuwa ni hii ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

NB, Sio kwamba Tanzania haina Umeme ila Tanzania inaupungufu mdogo wa Umeme,Nadhani tuliweke hili sawa hivi.

#MAMA HAKAMATIKI
Uzuri wake ni kwamba wote kwa pamoja tunaisoma namba... mbele kwa mbele.
 
Kwanza,Upungufu ni kiasi kidogo,
Pili,Bwawa la JNHP litamaliza haya maneno,
Tatu, Huu si mgao wa kwanza kwa Tanzania
Hata lile bwawa likija shida haitoisha , capacity ya umeme nchini ni tele ila vilaza na machawa ndo wamesheheni ofisi zile
 
Wenye dhamana hawakuwahi kuzungumzia uhaba wa maji toka mgao uanze rejareja June/July huko!

Mara zote walituambia mara wale wengine hawakufanya service mara wale walikuwa wanawakatia watumiaji wakubwa pekee.

Porojo zilitawala kila siku.
Msikilize Rais leo vizuri
 
Gesi haiko ya kutosha kuwa na akili jombaa, Jitahidi kufuatilia mambo ya nchi yako
Nyie mngekua na hizo akili umeme ungekua historia toka miaka ya giza.Ila ilo limebaki kua fupa gumu mdomoni mwenu.mnalibadilisha tu mdomoni kwa kutoa maneno mbalimbali yasiyoeleweka.
 
===

Wasalaam JF,

Naenda moja kwa moja kwenye Maswali yangu matatu kwa wachochezi.

1. Ninyi mnaolalamika na kumlalamikia Rais wetu mchapakazi Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kunaupungufu wa Umeme huku mkifahamu fika kuwa nchi yetu hii asilimia kubwa vyanzo vyake vya Umeme ni vya "maji" na sote tunafahamu nchi nzima mvua bado hazijaanza kunyesha na nikweli tunafahamu si rais wala Serikali | TANESCO wala CCM ndio wenye kuleta mvua ila Mungu, Sasa lawama hizi zote ni kwa faida ya nani?

2. Pili, Kama tunakubaliana kwamba Si Rais wala CCM wanaweza kuleta mvua kwanini basi hivi vyama Uchwara vya Upinzani wanataka kuitumia mipango hii ya Mungu ya Ukame kama turufu yao kubwa ya kisiasa?

3. Nitajieni mwaka mmoja tu ambao Tanzania haikuwa na mgao wa Umeme na Mimi nitawatajia awamu ya rais isiyokuwa na mgao wa kutisha wa umeme kuwa ni hii ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

NB, Sio kwamba Tanzania haina Umeme ila Tanzania inaupungufu mdogo wa Umeme,Nadhani tuliweke hili sawa hivi.

#MAMA HAKAMATIKI
Bora unyamaze kuepuka aibu, Rais aliyepewa kikatiba dhamana ya kuongoza nchi yetu anadai tatizo ni uchakavu wa mitambo, wewe kama nani unatueleza tatizo la ukame?

Kwanini tuendelee kutegemea vyanzo vya maji wakati kuna uwekezaji mkubwa ambao umeshafanyika kwenye vyanzo vingine hususani gas? Kwa sababu zenu za kisiasa, ni aibu kutetea uzembe. Kama CCM, Rais au hao uliowataja hutaki walaumiwe, unataka nani alaumiwe?

Tumeona hawamu iliyopita hili tatizo lilipungua kwa kiwango kikubwa, lakini baada tu ya Makamba na manegement yake kushika hii wizara, visingizio visivyoisha vimekuwa vingi kwa muda mrefu. Wasemaji wenyewe mmekuwa mkijichanganya. Waambieni wawambie jinsi bora ya kutudanganya.

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Labda apishe wanaoweza kuleta umeme wachukue kazi ? By the way hizo kejeli wawe wanazitoa kipindi wanaomba Kura sio wakati wana-Kula
 
Kwanini tuendelee kutumia vyanzo vya maji wkati kuna jua kuna upepo na kuna gesi tuna nyukilia pia viongozi walioko madarakani hawana nia yakutatua matatizo ya watanzania ili waendelww kuwepo katika nyadhifa zao
 
===

Wasalaam JF,

Naenda moja kwa moja kwenye Maswali yangu matatu kwa wachochezi.

1. Ninyi mnaolalamika na kumlalamikia Rais wetu mchapakazi Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kunaupungufu wa Umeme huku mkifahamu fika kuwa nchi yetu hii asilimia kubwa vyanzo vyake vya Umeme ni vya "maji" na sote tunafahamu nchi nzima mvua bado hazijaanza kunyesha na nikweli tunafahamu si rais wala Serikali | TANESCO wala CCM ndio wenye kuleta mvua ila Mungu, Sasa lawama hizi zote ni kwa faida ya nani?

2. Pili, Kama tunakubaliana kwamba Si Rais wala CCM wanaweza kuleta mvua kwanini basi hivi vyama Uchwara vya Upinzani wanataka kuitumia mipango hii ya Mungu ya Ukame kama turufu yao kubwa ya kisiasa?

3. Nitajieni mwaka mmoja tu ambao Tanzania haikuwa na mgao wa Umeme na Mimi nitawatajia awamu ya rais isiyokuwa na mgao wa kutisha wa umeme kuwa ni hii ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

NB, Sio kwamba Tanzania haina Umeme ila Tanzania inaupungufu mdogo wa Umeme,Nadhani tuliweke hili sawa hivi.

#MAMA HAKAMATIKI
Kubwa ni kutumia wataalamu, kuheshimu wanayoelekeza. Sio wanasiasa kuamua ya kitaalamu. TANESCO wanunue data na kuzitumia ku-forecast mvua. Ya Libya yasijirudie hapa. Sio kupiga ramli, au eti Mungu ataleta mvua. pango mbadala uwepo wa kununua umeme (inter-connector) kw majirani au kuleta ie meli kubwa ya kufua umeme wa zarura. Lingine ni Nuclea power, Kenya wameanza.
 
Kubwa ni kutumia wataalamu, kuheshimu wanayoelekeza. Sio wanasiasa kuamua ya kitaalamu. TANESCO wanunue data na kuzitumia ku-forecast mvua. Ya Libya yasijirudie hapa. Sio kupiga ramli, au eti Mungu ataleta mvua. pango mbadala uwepo wa kununua umeme (inter-connector) kw majirani au kuleta ie meli kubwa ya kufua umeme wa zarura. Lingine ni Nuclea power, Kenya wameanza.
Your Connected
 
===

Wasalaam JF,

Naenda moja kwa moja kwenye Maswali yangu matatu kwa wachochezi.

1. Ninyi mnaolalamika na kumlalamikia Rais wetu mchapakazi Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa kunaupungufu wa Umeme huku mkifahamu fika kuwa nchi yetu hii asilimia kubwa vyanzo vyake vya Umeme ni vya "maji" na sote tunafahamu nchi nzima mvua bado hazijaanza kunyesha na nikweli tunafahamu si rais wala Serikali | TANESCO wala CCM ndio wenye kuleta mvua ila Mungu, Sasa lawama hizi zote ni kwa faida ya nani?

2. Pili, Kama tunakubaliana kwamba Si Rais wala CCM wanaweza kuleta mvua kwanini basi hivi vyama Uchwara vya Upinzani wanataka kuitumia mipango hii ya Mungu ya Ukame kama turufu yao kubwa ya kisiasa?

3. Nitajieni mwaka mmoja tu ambao Tanzania haikuwa na mgao wa Umeme na Mimi nitawatajia awamu ya rais isiyokuwa na mgao wa kutisha wa umeme kuwa ni hii ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.

NB, Sio kwamba Tanzania haina Umeme ila Tanzania inaupungufu mdogo wa Umeme kutoka na ubovu wa miundombinu kuchakaa pamoja na ukame,Nadhani tuliweke hili sawa hivi.

#MAMA HAKAMATIKI
Mmoja wenu anadanganya Umma wa Watanzania


aidha ni wewe CM au ni SSH
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
=================

Umeme wetu ni Hydroelectric power tuvumilie inyeshe​



Watanzania na Wananchi muwe makini na baadhi ya waleta mada hapa Jamvini.
 
Mmoja wenu anadanganya Umma wa Watanzania


aidha ni wewe CM au ni SSH
Akizungumia kuhusu changamoto ya kukatika kwa umeme, Rais Samia Suluhu Hassan amesema mitambo haikufanyiwa maboresho kwa muda mrefu, hivyo maboresho yanapofanyika baadhi itazimwa na ndio maana imesababisha upungufu wa umeme
=================

Umeme wetu ni Hydroelectric power tuvumilie inyeshe​



Watanzania na Wananchi muwe makini na baadhi ya waleta mada hapa Jamvini.

View: https://youtu.be/A9-xf0Iz7fI?si=RDnLU9HyzCst6el5
 
😂😂😂😂 ila njaa ni kitu kibaya sana mwenyew unasubilia uteuzi baada ya kusema haya
 
Back
Top Bottom