Sio 'best loser', ni 'best second/third-placed team(s)'

Lupweko

JF-Expert Member
Mar 26, 2009
20,663
20,418
Nimekuwa nikishuhudia upotoshaji wa watangazaji na waandishi wa habari za michezo pale timu zilizoshika nafasi za chini lakini zikiwa ni chache tu zinahitajika kusonga mbele ili kuzibia mapengo kukamilisha idadi ya timu zinazohitajika. Timu hizo zilizo nafasi ya chini hushindanishwa kwa vigezo maalum ili kupata chache ambazo zitaungana na zile zilizosonga mbele moja kwa moja kwa kushika nafasi za juu. Kwa hapa Tanzania nimekuwa nikisikia waandishi na watangazaji wakiiita hicho kigezo cha timu za nafasi ya chini kuwa ni 'BEST LOSER'. Ukweli ni kwamba terminology sahihi inayotumiwa na FIFA ni BEST SECOND-PLACED TEAM iwapo zinashindanishwa timu za nafasi ya pili, na huitwa BEST THIRD-PLACED TEAM iwapo zinashindanishwa timu za nafasi ya tatu. Sasa sielewi akina Kitenge na wengi waliitoa wapi hiyo best loser!

8. Should the best second- or third-placed team within a group stage qualify for the next stage or for the final competition, the criteria to decide such best second- or third-placed team will depend on the competition format and will require the approval of FIFA following proposals from the confederations.
http://www.fifa.com/mm/document/tournament/competition/56/42/69/fifawcsouthafrica2010inhalt_e.pdf
 
1706135879756.png
 
Back
Top Bottom