mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi zikifuatiwa na za chadema.... swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi je hvyo vyama vingine havina bendera? naomba jibu wanaukawa
Ni kweli SILISABANGOO bendera za CCM zimeuchafua mji bali za UKAWA zimeung'arisha mji, bendera za vyama vingine zipo pia ila tatizo lako ukiziona za CHADEMA zinakutia wazimu. Huko Zanzibar nyingi ni CUF kwa kuwa wamesimamisha Mgombea Urais na karibu 99 ya wagombea wa ngazi za Ubunge, Uwakilishi, na Udiwani.
Sio mji mzima. Sema maeneo ya Lumumba. Maeneo ya kwetu uswazi, bendera za ukawa ndio nyingi. Sio hilo tu, bali waendesha bodaboda, bajaji na hata watu binafsi wengi wana vipeperushi vya ukawa. Tofauti kabisa na ccm. Wanategemea miti iwape kura za maruhani. Bao la mkono safari hii marufuku.
kuanzia Mwenge, barabara ya Sam Nujoma hadi Ubungo, kuelekea Kimara...Bendera za Chadema zimetia fora. Hii inathibitisha ushindi wa saa nne asubuhi wa mbunge Kubenea, Madiwani wa CDM na UKAWA, pamoja na Rais Lowassa.
Huwezi pata majibu yenye mantiki wakati umeuliza swali lisilo na mantiki ndo nyie mnaishi alipoolewa dadaako unasubili shemeji atoke na dadaako chumbani mle lunch so unaanzisha ki thread cha hovyo huku unasikiliza miguno ya dadako chumbani ana$&#*&&&&;;**@%%%% m4!%'bwa!
Elewa kuwa kila chama kina jukumu la kujiuza kwa wananchi. Labda swali lako ungelielekeza kwa vyama ambavyo unaona havijasambaza bendera vya kutosha. Ni vigumu kwa cdm au ccm kutengeneza bendera ya vyama vingine na kuingia gharama ya kuzisambaza. Ila naye Zito na act yake kajitahidi sana kusambaza bendera zake karibu nchi nzima. Upepo ulivyo act itashika namba tatu mwaka huu, nafasi ya kwanza ukawa, ya pili ccm.
Mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi( CCM) zikifuatiwa na za CHADEMA.Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?Nnaomba jibu wanaUKAWA.