Sintofahamu ya bendera

Sintofahamu ya bendera

SILISABANGOO

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
425
Reaction score
53
Mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi( CCM) zikifuatiwa na za CHADEMA.

Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?

Nnaomba jibu wanaUKAWA.
 
mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi zikifuatiwa na za chadema.... swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi je hvyo vyama vingine havina bendera? naomba jibu wanaukawa

Maswali mengine sijui watu huwa mnauliza mkiwa mmekalia vigogo au nini!
 
Bado wanaukawa hamjanipa jibu la kuridhisha mm km mwananchi ninayetaka mabadiliko nataka kupata majibu yenye mantik
 
Nchi nzima imetapakaa mabango yaliyoandikwa CHAGUA MAGUFULI, hivi huyu Magufuli hanq chama???
 
Ni kweli SILISABANGOO bendera za CCM zimeuchafua mji bali za UKAWA zimeung'arisha mji, bendera za vyama vingine zipo pia ila tatizo lako ukiziona za CHADEMA zinakutia wazimu. Huko Zanzibar nyingi ni CUF kwa kuwa wamesimamisha Mgombea Urais na karibu 99 ya wagombea wa ngazi za Ubunge, Uwakilishi, na Udiwani.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa imemezwa na chadema,hapa kazi tu kwa kuwa ukawa wamepoteza dira ndio maana chadema imeviweka mfukoni vyama vyote
 
Acha uwongo bendera za chadema ndio nyingi au huko kwenu visiju ndio zimejaa za mafis em
 
Mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi( CCM) zikifuatiwa na za CHADEMA.

Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?

Nnaomba jibu wanaUKAWA.

Sio mji mzima. Sema maeneo ya Lumumba. Maeneo ya kwetu uswazi, bendera za ukawa ndio nyingi. Sio hilo tu, bali waendesha bodaboda, bajaji na hata watu binafsi wengi wana vipeperushi vya ukawa. Tofauti kabisa na ccm. Wanategemea miti iwape kura za maruhani. Bao la mkono safari hii marufuku.
 
kuanzia Mwenge, barabara ya Sam Nujoma hadi Ubungo, kuelekea Kimara...Bendera za Chadema zimetia fora. Hii inathibitisha ushindi wa saa nne asubuhi wa mbunge Kubenea, Madiwani wa CDM na UKAWA, pamoja na Rais Lowassa.
 
Bado wanaukawa hamjanipa jibu la kuridhisha mm km mwananchi ninayetaka mabadiliko nataka kupata majibu yenye mantik

Huwezi pata majibu yenye mantiki wakati umeuliza swali lisilo na mantiki ndo nyie mnaishi alipoolewa dadaako unasubili shemeji atoke na dadaako chumbani mle lunch so unaanzisha ki thread cha hovyo huku unasikiliza miguno ya dadako chumbani ana$&#*&&&&;;**@%%%% m4!%'bwa!
 
Elewa kuwa kila chama kina jukumu la kujiuza kwa wananchi. Labda swali lako ungelielekeza kwa vyama ambavyo unaona havijasambaza bendera vya kutosha. Ni vigumu kwa cdm au ccm kutengeneza bendera ya vyama vingine na kuingia gharama ya kuzisambaza. Ila naye Zito na act yake kajitahidi sana kusambaza bendera zake karibu nchi nzima. Upepo ulivyo act itashika namba tatu mwaka huu, nafasi ya kwanza ukawa, ya pili ccm.
 
Mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi( CCM) zikifuatiwa na za CHADEMA.Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?Nnaomba jibu wanaUKAWA.
Mnataka malaika ashuke Ili kuwaeleza kuwa CHADEMA imeviua hivyo vyama vingine vya CUF, NCCR, & NLD?
 
Back
Top Bottom