SILISABANGOO
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 425
- 53
Mji mzima wa Dar umechafuka sna kwa bendera za chama cha mapinduzi( CCM) zikifuatiwa na za CHADEMA.
Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?
Nnaomba jibu wanaUKAWA.
Swali la kujiuliza UKAWA ni muunganiko wa vyama vingi, je hivyo vyama vingine havina bendera?
Nnaomba jibu wanaUKAWA.