Sintofahamu kuhusu kuchukua mafao mifuko ya jamii

Sintofahamu kuhusu kuchukua mafao mifuko ya jamii

Bado kuna sintofahamu kubwa miongoni mwa wafanyakazi juu ya hii mifuko!
Wanafanya maksudically kuwa confuse watanzania ili mwisho wa siku wakishatimiza lengo lao waje waseme "oohh! ',,mlituelewa vibaya. "
 
Hivi wabunge waliotunga (au kukubali kutungwa) hizo sheria nao wanangoja mpaka wafikishe miaka 55 ndio wapate mafao yao au zao wanachukua baada ya miaka mitano (lakini za wengine zingoje mpaka wastaafu) ? Kama kuna anayefahamu naomba atueleweshe
Unaweza kuta sheria hiohio imetoa exemption kwa wabunge na viongozi wa kada za juu serikalini hivyo hawasikii maumivu mnayosikia
Inawezekana kabisaa ye akimaliza ubunge anachukua chake chote kabla ya hio miaka 55
Japo sina hakika nadhani kuna haja tuisome hio sheria kwa undani zaidi tujue
 
Unaweza kuta sheria hiohio imetoa exemption kwa wabunge na viongozi wa kada za juu serikalini hivyo hawasikii maumivu mnayosikia
Inawezekana kabisaa ye akimaliza ubunge anachukua chake chote kabla ya hio miaka 55
Japo sina hakika nadhani kuna haja tuisome hio sheria kwa undani zaidi tujue
Hiyo sheria haiapply kwa wabunge wao kila baada ya miaka 5 wanalipwa mafao yao.
 
Mkuu hili ni janga kubwa mno. Sheria kandamizi zinaua ndoto za watanzania. Kwa nia njema kabisa niombe washauri wa Rais watumie busara zao katika kuwasilisha uhalisia wa maisha ya mtanzania wa hali ya chini na sio kuwasilisha vitu vya kusadikika.
Huyu jamaa hashauriki. Twafaaaa
 
NSSF unatakiwa usubiri miezi 6 mkuu wakati wakisubiri mwongozo kuhusu fao la kukosa ajira
 
Serikali inakopa hii mifuko Trillions of money hairejeshi watawalipa nini mkidai?.,

Sidhani kama kuweka miaka 55 ndo suluhu,unaahirisha tu tatizo binafsi sikubaliani abadani na huo utaratibu
Esp kwa wale wenye kazi za mikataba inawaumiza mno
Tumeongea sana tena kabla ya kusainiwa hiyo sheria, nafikiri waliotunga hii sheria Akili zao zipo miguuni.
 
Dah hii inshu inakera sana, sasa hivi limeibuka hili suala la kudaiana kwa nguvu na bodi ya mikopo yaani kama unadaiwa bodi ya mikopo halafu ukaacha kazi au ukafukuzwa ukiapply mafao yako hata kama milioni 2 tu sahau kuhusu hiyo hela yaani wanaiuanganishia bodi ya mikopo yote wanaichukua unaambulia patupu sasa mtu unakaa unajiuliza uliingia mkataba na bodi ya mikopo au mfuko wa kijamii
 
Katika mambo ambayo yananifanya niendelee kutafakari uwepo wa anayeitwa Mungu ni hili la mafao ya NSSF,
Kama kweli Mungu yupo na ni mwenye upendo kwa watu wote asingeweza kuruhusu upitishwaji wa sheria hii,, nazidi kutafakari kwa kina,,
Dini zinatulisha matango poli hakuna Mungu wala babaake Yesu
 
Kuna mtu namfahamu anadai Tshs Mil. 380, ameachishwa kazi baada ya ya kampuni aliyokuwa anafanyia kazi kuyumba kiuchumi, alikuwa ni mtu mwenye hali nzuri sana, lakini anavyoteseka sasa inatia huruma.

Amefuatilia madai yake bila mafanikio. Anaambiwa mpaka afikishe miaka 55! Mtu ana familia, anasomesha, ana majukumu mengine kibao, hakutarajia kuachishwa kazi wala sio kwamba yeye alitaka. Tufanye kuachishwa kazi sio tatizo, lakini je, hela yake halali aliyoikusanya kwa mfumo wa kuweka akiba kwa nini asipewe? Hiyo hela anaomba akopeshwe au ni haki yake? Kwa nini anyimwe?

Inaingia akilini kuwa wabunge walisoma kabisa hiyo sheria na kuunga mkono? Mtu aachishwe kazi halafu anyimwe mafao mpaka afikishe miaka 55, kwa maisha haya ya Tanzania ya leo ambapo maisha ya watu ni magumu sijawahi kuona?

RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET hebu niambie ingelikuwa wewe ungalifanyaje?
duh,Hawa washauri wa Rais ni mtihani kwa kweli,ile ela nafanya kazi mimi na najiwekea akiba yangu baadae nikiwa na tatizo inisaidie,lakini kuna wajinga wachache wanapangia matumizi ela za wengine na PAYE ni 18% na wanakata.......nitapanga shambulio la kuharibu mali za mfuko unaonisumbua
 
Unaweza kuta sheria hiohio imetoa exemption kwa wabunge na viongozi wa kada za juu serikalini hivyo hawasikii maumivu mnayosikia
Inawezekana kabisaa ye akimaliza ubunge anachukua chake chote kabla ya hio miaka 55
Japo sina hakika nadhani kuna haja tuisome hio sheria kwa undani zaidi tujue
sio unaweza kuta,Wabunge mafao yao wanayapata baada ya miaka mi 5 wakimaliza kipindi cha uongozi wao
 
Dah hii inshu inakera sana, sasa hivi limeibuka hili suala la kudaiana kwa nguvu na bodi ya mikopo yaani kama unadaiwa bodi ya mikopo halafu ukaacha kazi au ukafukuzwa ukiapply mafao yako hata kama milioni 2 tu sahau kuhusu hiyo hela yaani wanaiuanganishia bodi ya mikopo yote wanaichukua unaambulia patupu sasa mtu unakaa unajiuliza uliingia mkataba na bodi ya mikopo au mfuko wa kijamii
duh hii imeanza lini mkuu...mbona nchi majanga
 
Kiongoz wa wanyonge....ndo maana umasikini utaendelea daima ili tunyongwe vizuri!
 
duh hii imeanza lini mkuu...mbona nchi majanga
Hii itakua imeanza kati ya mwaka jana au mwaka huu maana kuna jamaa yangu kafukuzwa kazi akawa anafuatilia mafao yake pspf kuanzia mwaka huu mwanzoni kaanza process vizuri tu mpaka kafikia hatua ya kulipwa ndo anakuja kuambiwa hatalipwa hiyo hela itachukuliwa na bodi ya mikopo kwa sababu ana deni tena hela yote
 
Back
Top Bottom