Starboywiz
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 867
- 1,457
Mwaka Juzi mwezi wa 12 mwishoni nilimpoteza bro tuliyekua nae pamoja (ni cousin wangu, sisi tulikua ndugu wanne, yani mimi na ndugu zangu yan watoto wa shangazi zangu na sote tulilelewa na bibi tangu tukiwa wadogo sana! The bond btn us ilikua kubwa mnoo..tumepitia mengi pamoja, tulipendana mnoo! Walinitreat vema sana mana mi ndo nilikua mdogo zaidi kwenye squad).
Jamaa alikamatwa na polisi kwa kuhusishwa na ugomvi ambao kiukweli yeye hakuwa mhusika bali alikua anaamulia ugomvi wa rafiki yake mwingine. Polisi walimpiga sana huko walikompeleka na wakaja kumuachia baada ya kuona hali yake ni mbaya mnoo! That day hakurudi nyumbani ilibidi tumuwahishe hospital, huko nako mambo hayakua mazuri alikaa siku tano akahamishiwa ICU! Hakuchukua round bro alipoteza maisha baada ya siku mbili tuu..
Sikumbuki kama nimewahi kuumia kama siku ile, jamaa alikua real sana. Polisi walimuwahisha sana braza (he was only 23!)
Sometimes roho inauma akili inakataa kuamini kama polisi nao ni wanadam kama sisi. These guys are heartless!!
Daah anyway, endelea kupumzika kwa amani braza
I love you
I miss you sana bro
Jamaa alikamatwa na polisi kwa kuhusishwa na ugomvi ambao kiukweli yeye hakuwa mhusika bali alikua anaamulia ugomvi wa rafiki yake mwingine. Polisi walimpiga sana huko walikompeleka na wakaja kumuachia baada ya kuona hali yake ni mbaya mnoo! That day hakurudi nyumbani ilibidi tumuwahishe hospital, huko nako mambo hayakua mazuri alikaa siku tano akahamishiwa ICU! Hakuchukua round bro alipoteza maisha baada ya siku mbili tuu..
Sikumbuki kama nimewahi kuumia kama siku ile, jamaa alikua real sana. Polisi walimuwahisha sana braza (he was only 23!)
Sometimes roho inauma akili inakataa kuamini kama polisi nao ni wanadam kama sisi. These guys are heartless!!
Daah anyway, endelea kupumzika kwa amani braza
I love you
I miss you sana bro