Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,132
- 2,223
Mji Mzito..huu.
Dah!
Haahaaaaa, alikuwa anamkimbia marehemu mkewe maskini, mzee alikuwa nyumbani kwa madame Ritha anakula uroda kumbe mama alikuwa ameshapata habari zao akamzukia, mzee akaona isiwe tabu akaparamia ukuta, .
Duh Nina yale macho sasa, mwingine NorahUmenikumbusha mbali kiongozi, kuliwahi kuwa na mwanamke mkali kichizi pia enzi hizo, Nina nadhani alipotelea wapi huyu mrembo, nisamehe kiongozi kwa kwenda nje ya mada!
Naam mkuu. Tulishea sana magazeti. Nakumbuka nilikuwa nikienda skuli nabeba magazeti ya kila siku. Michezo, hard news na soft news. Yote.
Wewe jamaa nakukubali sana, huwa upo deep comments zako kuanzia siasani hadi huku unyotaniJuma Kassim Kiroboto ( Juma Nature) Mtoto wa Kurasini Kijiji Cha Wavuvi alikuwa Na Usela Mwingi Sana Na ndio maana waliotajirika kwa Jina Lake Ni wengi Sana
Yule Binti alikuwa anapenda kudanga Na Watu Maarufu Na ndio sababu miongoni mwa Fimbo alizokula zilikuwa Za Kijana huyo Mla ndumu
Enzi hizo Bongo record ya PFunky ilikuwa Kama Sebule ya TMK
Nina ndio Nora?.. Yule White!?..daah na macho yake matamu ya kukutia nyegezi akikuangalia
yupo maeneo ya magomeni mikumi, nishawaimfuma pande zile several times
........Zali la mentali....Sometimes warembo wanaamuaga tu kuwabariki wahuni, hiyo wala haina question. Mi jinsi nilivyo naweza kuchukua mtoto mkali we ukabaki kuosha macho tu na tai yako shingoni.
Huyu NoraNina ndio Nora?.. Yule White!?..
Amesumbua sana huyu Nora
Hahaa... kama walikuwa watano huyo watano si ndio sintah mwenyewe!!!Umaarufu uliisha baada ya kwenda UG kusoma hawa walikua na group lao walijiita ALQAEDA...Marehemu Chifupa,Maimartha,Sintah,Monalisa na nimemsahau mwingine walikua Wa5
Yaani wametesa haswaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale mliochelewa kufika mjini na mliozaliwa 95, mtoto Sinta alikuwa moto wa kuotea mbalii
Huyu hapa
View attachment 1061953
kum e zake kwa totozeee kwa mtibue lema hajakoseaMzee machache naye Kumbe alipitaga!
Huyu mzee katuzidi pesa mpaka kugegeda.