Ujue mmeniangusha au nyota zenu za Usingle au ubavu wenu ulinywewa supu....watu 4 mmekimbizana na miss_blossom mmemshindwaOk so tunasherekea vp hiyo kesho? Mi nna mpango mkakati afu vp huyu Nokia83 na James Mhangwa mbona kama wananiharibia?


Niambie bhana kama upo single kwani nataka tulianzishe na tukilianzisha hakuna wa kutusimamisha!
Umefunga PM? Nataka nikuletee zawadi yako ya valentineMjanja anachukua mtoto![]()
![]()
Khaaaa!!........ Kumbe wewe ni dume mkuu??Nimechoka usingle natafuta msichana pm me

ndo alikuwa crush wako nini?Khaaaa!!........ Kumbe wewe ni dume mkuu??![]()
single ni mtu wa aina gani?asie na mpenzi au mume?Tena katibu mwenezi wa masingle
Marahabaaa!! Hivi na mimi ni single au tripple?Dada shikamoo! !
naona unatoa tangazoMmh sijui am single,married or divorced, poor me!
sextupleMarahabaaa!! Hivi na mimi ni single au tripple?
naona unatoa tangazo
Ungana na mimi tutoe AlbumMarahabaaa!! Hivi na mimi ni single au tripple?
ha ha ha ha ha dont be confused we are together in thisAm confused soul.(sio tangazo hilo,mbona mchokozi hivyo)
Mkuu mbona hakuna aliyekataliwa so far? Mi nnachojiuliza sijui atatupanga vpUjue mmeniangusha au nyota zenu za Usingle au ubavu wenu ulinywewa supu....watu 4 mmekimbizana na miss_blossom mmemshindwa
![]()
Kesho ukibaki nyumbani pasipo kupewa zawadi..kuambiwa maneno ya upendo wala kufanyiwa kitu chochote na mwanaume asiye ndugu yako na hali ikaendelea hivyo pasipo kupose basi hiyo itakuwa maana sahihi ya Usingle.single ni mtu wa aina gani?asie na mpenzi au mume?