umenifundisha na umesomeka ila mwenzio ndo hivyo hata kuua mtu sioni shida wala nini yaan afadhali ya jana kuliko ya leo ,wewe unafikiri mtu gaidi kaanza leo huyo alikuwa nayo kutokana na ugaidi alofanyiwa ndo maana ni gaidi,siku zote tambua kuwa namba zote zilianza na 0 kwa hiyo ni ngumu kuifanya namba irudi 0 zaid asante kwa ushaur