Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,289
- 2,472
Naulizia wale wadada ambao wanafanya kazi zao na kuishi kwa kujitegemea. Sio wanafunzi, japo wako wanafunzi ladies. Wanapatikana wapi hawa? Napishana nao manjiani lakini hawajaandikwa wako singo. Kuwasimamisha njiani sio utaratibu. Nahitaji kuwa na mmoja mwenye kazi yake. Ukichanganya na yangu, tunasongesha.