mkaskaz
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 707
- 967
Moja kati ya sababu ni hizi:
1. Umejirahisi sana, ukiwekewa kamtego unanasa, unachezewa, unaachwa.
2. Unachagua sana, ukiwakataa wapambanaji badala yake unangojea waliokwisha pambana kimaisha na kutoka.
3. Una mdomo (nyodo, kiburi) na tabia zingine zisizovumilika kwa wanaume (seems not ready to be submissive)
4. Hujichanganyi na watu wapya, uko na walewale wanaokujua inside out.
5. Njaa njaa zisizo na msingi. Mkibadilishana namba tu ushaomba vocha na mama ashaugua tayari.
6. Kukosa sifa za kuwa mke. Unasomeka kiviwanjaviwanja tu na kimatanuzi. Huoneshi kama una vision.
7.....
8.........
9.............
1. Umejirahisi sana, ukiwekewa kamtego unanasa, unachezewa, unaachwa.
2. Unachagua sana, ukiwakataa wapambanaji badala yake unangojea waliokwisha pambana kimaisha na kutoka.
3. Una mdomo (nyodo, kiburi) na tabia zingine zisizovumilika kwa wanaume (seems not ready to be submissive)
4. Hujichanganyi na watu wapya, uko na walewale wanaokujua inside out.
5. Njaa njaa zisizo na msingi. Mkibadilishana namba tu ushaomba vocha na mama ashaugua tayari.
6. Kukosa sifa za kuwa mke. Unasomeka kiviwanjaviwanja tu na kimatanuzi. Huoneshi kama una vision.
7.....
8.........
9.............

