cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Ni shida tupuya kwel haya?
Ni shida tupuya kwel haya?
Staki mimi stress za kuhangaika na watoto wa mwanamke mwenzangu na Mimi hapo sijazaa wanguMi ni double father vipi tuyajenge mpenzi.
Ndio maana watu hu fake wakiingia ndoani watoto wanai soma numberNadhani hata single mother highway ya kwenda kwenye moyo wake ni kupitia mwanae hata sisi wanaume ni hivyo hivyo. Waswahili wana msemo "ukipenda boga penda na ua lake'. Ukimpenda mwanangu nami ntakupenda ,ni rahisi tu.
OkayKama hakujeruhiwa basi alijeruhi....huwezi kukosa kwenye makundi hayo mawili. Never
Mimi nimelelewa na mama wa kambo naujua mziki wake na nisingependa mwanangu apitie hayo. As a single father kama ntakuja kuoa tena maslahi ya mwanangu ndio mkataba wa ndoa yenyewe kama hataweza basi asepe tu.Ndio maana watu hu fake wakiingia ndoani watoto wanai soma number
Na Mimi huwezi ni force niwapende wanako ka tafte malaika aisee au mfanyakazi wa kukulea, Mimi simlaumu mama wa kambo, mitoto ya kambo haipendeki maana imeathirika kisaikolojia hata ufanyeje haipendeki na Mimi mama siwezi gawa upendo kwa watu ambao sijawazaa niwape equal treatment hyo never mama yao Yuko wapi kuchangia Yani kidogo changu ni shee na wasio wangu lohMimi nimelelewa na mama wa kambo naujua mziki wake na nisingependa mwanangu apitie hayo. As a single father kama ntakuja kuoa tena maslahi ya mwanangu ndio mkataba wa ndoa yenyewe kama hataweza basi asepe tu.
Naheshimu msimamo na maoni yako lakini hata single mothers wanaweka maslahi ya watoto wao mbele. Wanaume mara nyingi huonyesha genuine care kwa watoto wa kambo kuliko wanawake.Na Mimi huwezi ni force niwapende wanako ka tafte malaika aisee au mfanyakazi wa kukulea, Mimi simlaumu mama wa kambo, mitoto ya kambo haipendeki maana imeathirika kisaikolojia hata ufanyeje haipendeki na Mimi mama siwezi gawa upendo kwa watu ambao sijawazaa niwape equal treatment hyo never mama yao Yuko wapi kuchangia Yani kidogo changu ni shee na wasio wangu loh
Bora wanawake huwa hatuweki vtu moyoni nyie vtu huwa vinawaua ndani Ila nje mwaonyesha mko okay kabisa. In short kuhangaika na mwana asiye wako na uliyemubeba tumboni ni vtu viwili tofauti, wazazi wetu tu Kuna watoto wanawapenda Sana kuliko wengine sembuse mtoto asiye wakoNaheshimu msimamo na maoni yako lakini hata single mothers wanaweka maslahi ya watoto wao mbele. Wanaume mara nyingi huonyesha genuine care kwa watoto wa kambo kuliko wanawake.
Ila ulimfungulia zipu
huyu hata shule ya kata sijui kama amepitaUthibitisho mwingine wa ubovu wa shule za kata..
Maana yangu ni kwamba "anayeisifu mvua" si kwa nia mbaya mkuu nimejibu ulichoandikaUna maana gani?
Staki mimi stress za kuhangaika na watoto wa mwanamke mwenzangu na Mimi hapo sijazaa wangu
Usijali babes ntakutoa hizo stress afu ntakuzalisha na wa kwako ka sita hivi.Staki mimi stress za kuhangaika na watoto wa mwanamke mwenzangu na Mimi hapo sijazaa wangu
Ukiwa mbovu kwako wengine kipo walichoambulia, neno limepenyauzi ufutwe mods kazi imewashnda! uzi mbovu sana


Maana yangu ni kwamba "anayeisifu mvua" si kwa nia mbaya mkuu nimejibu ulichoandika
😁😁😁😁😁Uthibitisho mwingine wa ubovu wa shule za kata..
Siameshatoa sababu ..Duuh...Wewe kwanini ukatae mimba jamani