Singida; Mkutano wa kampeni wa CHADEMA

Singida; Mkutano wa kampeni wa CHADEMA

Rehema E Grayson
9/13, Hela ilingia 10/9/2015 mil 65 tawi Mwanza na kutolewa11/9/2015 tawi Ostabay
[9/13,

01J2008494400 Na ilitolewa mil 60
Hela za kuwanunua akina aunty Ezekiel na Ray

wale wa ccm hawalipwi?
 
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu

Takataka tupu.
zipeleke dampo sio kuzileta humu Jf.
 
Tupieni update za mkutano picha video mkutano unavyo endelea
 
Rehema E Grayson
Hela ilingia 10/9/2015 mil 65 tawi Mwanza na kutolewa11/9/2015 tawi Ostabay


01J2008494400 Na ilitolewa mil 60
Hela za kuwanunua akina aunty Ezekiel na Ray
 
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu
Nitamchagua huyo huyo
 
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na

' mabadiliko' huu ni ukweli
mchungu

Wewe ni nshomile ambaye mahusiano kati ya ubongo na mwili havina mawasiliano,huenda rubisi lumekuharibu
 
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu

Sidhani kama haya maneno ni mapya,tuliyasikia na tunayasikia ila sisi tutamchagua huyo huyo mgonjwa.
 
Rehema E Grayson
9/13, Hela ilingia 10/9/2015 mil 65 tawi Mwanza na kutolewa11/9/2015 tawi Ostabay
[9/13,

01J2008494400 Na ilitolewa mil 60
Hela za kuwanunua akina aunty Ezekiel na Ray

uwiiiiiiiiu njoooooni huku muone wadau
 
Nitaanza kuwa letea wadau sio muda nipo njiani kuelekea uwanjani muda huu, mabadiliko ni sasa

Tunashukuru mkuu nawe umeweka rekodi ya kuanzisha uzi hapa JF.

picha sio issue tena cha msingi ni kuhakikisha oktoba tunapiga kura na si vinginevyo ili LOWASA ashinde kwa kishindo.
 
Rehema E Grayson
9/13, Hela ilingia 10/9/2015 mil 65 tawi Mwanza na kutolewa11/9/2015 tawi Ostabay
[9/13,

01J2008494400 Na ilitolewa mil 60
Hela za kuwanunua akina aunty Ezekiel na Ray
Mkuu umeuwaaa
 
Back
Top Bottom