the great busnesser
Member
- Jul 11, 2015
- 10
- 1
Nitaanza kuwa letea wadau sio muda nipo njiani kuelekea uwanjani muda huu, mabadiliko ni sasa
Nitaanza kuwa letea wadau sio muda nipo njiani kuelekea uwanjani muda huu, mabadiliko ni sasa
hivi ndani ya ccm kuna anayemzidi kuongea lusinde ? mbona hakuwa mgombea urais ?Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu
Tatizo,kuna watu hawataki kuamini. LOWASA ndiye Rais ajaye.
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu
Watu wanajisikia vibaya sana kuona mgombea wenu hayuko comfortable kuitawala mic jukwaani, anapata shida kuushirikisha mwili ..mwili wa mwanadamu aliye kamili uenda na maneno ama matukio lakini kwa babu mambo yanakuwa ndivyo sivyo, hata mic yenyewe inageuka mzigo kuishikilia, anapenda kujisogeza kwa hatua za haraka na za kuvutia ila anaishia kutembea kama mtu anayekatiza kwenye pori lenye miiba, shingo inageuka kama mtu anayefanya mazoezi ya shingo ..dakika 2 mzee anakabidhi mic na ukiuliza pale ni Maneno mangapi mmeyasikia itakuwa ni 'people' na ' mabadiliko' huu ni ukweli mchungu
hivi ndani ya ccm kuna anayemzidi kuongea lusinde ? mbona hakuwa mgombea urais ?