Tetesi: Singida BS wanapambana kumsajili Aziz Ki

Tetesi: Singida BS wanapambana kumsajili Aziz Ki

Yaani kwamba waarabu wamteme baada ya kucheza mechi hizo chache tu watakuwa wapuuzi
Shida ni sheria yao ya kusajili wachezaji wa kigeni ni wachezaji watano tu na wamesajili wachezaji 8. Halafu inaonekana akili zao zilikuwa zinawaza katika klabu bingwa dunia ndio maana wamechukua wachezaji kwa kipindi kifupi fupi cha miezi mitatu tu
 
Ile bilioni 2 iliyosemekana walilipwa last born inawezekana ni kanyaboya.

Jamaa mkataba utakua uliisha huko utopoloni akayeya bure.

Yaani timu itie bil2 halafu imteme kirahisi hivyo ndani ya mwezi mmoja kweli?
Sidhani kama wanaweza kuongopa hivyo kwasababu itaingizwa moja kwa moja katika hesabu ya vyanzo vya mapato.
 
Bora aende Ken Gold ... asaidiane na ex uto wenzake Morrison, Chirwa, Zawadi, Yondani na wengine kuirudisha ligi kuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom