Nahisi una matatizo sugu ya kuto kuelewa muziki![]()
![]()
Style ya uchezaji wake sasa ndio komesha. Utafikiri upo kwenye mashine za gym
MyNotjustok - Download TrackUwaupload hapa niusikie kidogo mkuu
Hakuna mziki unaotoka kwenye hizo Kati ya nilizoolozesha hapo sasa kimziki lazima udondokee humoKwa nini singeli ilibakie kuwa singeli na badala yake uanze kutaka kuifananisha na style ya miziki hiyo uliyoainisha?
'chakubamba mama iyoleeee,akaanza kulia palee mama usinchinje(usinchinjemama) tumpeleke helena huyu'Kisingeli tunauweza wenyewe wa dar nikiusikilizaga na kuona wanavyocheza unanipunguziaga stress hasa wale madogo chipukizi 'mikono juu , mikonojuu,mikono juu mwendo wa mateka' duuhuu wankosha wale