prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,375
Tatizo kubwa la Tz mpaka sasa linasababishwa na kupata Uhuru bila kutwangana.."Hatukuingia vitani kupata Uhuru"..
Imefanya tumekosa Uzalendo ..Wanaoiba na wanaoibiwa Wote Haiwaumi..
Billion 200 !?!! Tunastahili kuingia kwenye Maajabu ya Dunia..
Mahesabu Uwanja wa Ndege kutokuwa na taa hiyo ni kesi nyingine..Baada ya miaka 50..Mji mkuu wa Tanzania.. Dodoma Kiwanja hakina taa asee!!!!
Ni muda wa kujuta na kujifunza..Wakati Nchi nyingine zinachagua viongozi...Sisi tunachagua Watalii kutuongoza..
Imefanya tumekosa Uzalendo ..Wanaoiba na wanaoibiwa Wote Haiwaumi..
Billion 200 !?!! Tunastahili kuingia kwenye Maajabu ya Dunia..
Mahesabu Uwanja wa Ndege kutokuwa na taa hiyo ni kesi nyingine..Baada ya miaka 50..Mji mkuu wa Tanzania.. Dodoma Kiwanja hakina taa asee!!!!
Ni muda wa kujuta na kujifunza..Wakati Nchi nyingine zinachagua viongozi...Sisi tunachagua Watalii kutuongoza..
Last edited by a moderator: