Namsikitikia sana Gwajima.Frankly alimu-under stimate Askofu Pengo.He should have known kwamba Askofu Pengo ni mwakilishi wa Pope Tanzania.This means if you fight Pengo you are infact at war with the Pope himself.Kwa jinsi Gwajima alivyo anzisha vita inayoendelea haijui kabisa Vatican!Alidhani Askofu pengo ni askofu tu kama yeye,he is not.Ulishaona wapi dhehebu likawa na balozi katika nchi mbalimbali duniani.Roman Catholic sio dhehebu,it is more than that.Pole Gwajima umeingia choo cha kike.Malkia wa Uingereza na akina Obama wenyewe wanamsujudia, sembuse wewe. Vihela vyako hivyo ulivyopata kwa njia haramu visikutie kiburi ndugu yangu.Kwanza ungekuwa mtu wa kiroho kweli usingemdhalilisha Pengo kama ulivyofanya.Wewe sio mtu wa kiroho kabisa,ngoja sasa shetani akushughulikie,ameshamaliza kazi na wewe.Satan has nothing for free,lazima utalipa.Sasa unalipa.