Mussa waukweli.
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 534
- 319
Hi wana JF bila shaka mko poa na wazima wa afya njema!!!
Naombeni mawazo yenu!
Mke wangu hazingatii muda wa kurudi nyumbani nifanyeje?????
Badilisha kitasa cha mlango afu usimpe funguo.....
Badilisha kitasa cha mlango afu usimpe funguo.....
mpe talaka............
Akimpa funguo atakuwa haja solve tatizo, atachelewa tuhahaha... Hapana wagawane funguo kila mtu ajijue wakati wa kurud wasisumbuane kufunguliana
Miss u pia mupenzi.....Teh teh teh... Mecheka kwelu shost, nakumissje!!