Ni muda muafaka kwa mtaka mabadiliko kuwa sehemu ya mabadiliko!hatuhitaji mapanga,mikuki,bunduki au silaha yoyote kuiondoa/kupigana na ccm kwani ccm sio kitu bali watu.tukipigana na ccm ni kuwapiga watz wenzetu na kuhatarisha amani tuliyo nayo.inawezekana aliye ndani ya ccm hajitambui bado!haijui ccm ilivyo hivyo inapaswa aelimishwe!pia inawezekana aliye ccm anaifahamu kwa jinsi anavoi2mia kuwanyonya watz wenzake!huyu haitaji kuelimishwa bali kuondolewa!namna pekee ya kumwondoa huyu ni kuhakikisha;
1.Kufikia 2015 una kadi ya kupigia kura
2.unaelimisha watz wenzako kadiri uwezavyo juu ya udhalimu na unyonyaji wa ccm
CCM imeharibu maisha(future) ya watu wengi xana!naapa kuiangamiza ccm kwa kura yangu
1.Kufikia 2015 una kadi ya kupigia kura
2.unaelimisha watz wenzako kadiri uwezavyo juu ya udhalimu na unyonyaji wa ccm
CCM imeharibu maisha(future) ya watu wengi xana!naapa kuiangamiza ccm kwa kura yangu