Sina maana kwamba tunasubiri ufe ndo tupate ya kuandika, hapana ya kuandika tunayo ila tunasubiri ufe tuyaandike

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Kila anapokufa mtu yeyote ndipo sifa zake uanza kuenea kwamba amefanya haya na yale, mara huyu mtu amekuwa nguzo katika suala fulani au amewezesha kitu fulani,

Hii ni tabia ya unafiki iliyojaa kwenye waafrika walio wengi , ni ama saa nyingine kuogopa kumuongelea mtu aliyekufa vibaya , ama kufuata mkumbo kuongezea sifa kwa marehemu ionekane naye anamjua,

Meseji hii ni moja kwa moja kwa wale mliopewa dhamana ya kuongoza nchi hii, ni kwa wale walio na nafasi ya kuweza kuwaongoza walio chini mfano wachungaji, wafanya biashara wakubwa, makasisi na mashehe bila kusahau wachungaji,

We kama kiongozi wa nchi uliwahi kujiuliza hivi ikitokea leo nikaondoka nitasemwa vipi au nitasemwaje? na wanaoweza kuusema ukweli ni wachache , je umewahi jiuliza kwamba pamoja na kwamba tuna tabia ya kusifia marehem je we watakusifia kwa kutoka moyoni au watakusifia tu kwa kufuata mkumbo na kuogopa ile laana ya kumsema marehem vibaya?

Kama kiongozi unayo nafasi ya kukumbukwa kwa mengi Mfano kukumbukwa kwa uongozi shupavu usioegemea upande, usio na chembe chembe za upendeleo, isiyo na aina yoyote ya unyang'anyi na kuwatishia unaowaongoza,
Kama kiongozi unayo nafasi ya kutengeneza mazingira ya kukumbukwa kwa kutowafanya wananchi kuishi kwa dukuduku na wasiwasi mpaka wengine kufika hatua ya kujipendekeza kwako ionekane unafanya sahihi kumbe ni uoga uliotawala mioyo yao,
Kama kiongozi unayo nafasi ya kuwakumbatia wote walio wako na wasio wako na kuweka tofauti zao pembeni na kuwaleta pamoja,
Kama kiongozi hutakiwa kuwa na ubaguzi wowote kati kuwateua wasaidizi wako ama watu wa kupata nafasi mbali mbali,

Tunajua viongozi wengi uacha alama kubwa nazo zaweza kuwa zina athari chanya ay hasi ndani ya jamii wanayoishi,
Ni auala la muhimu sana kuziepuka athari hasi kama vile kuua, kufilisi, kusingizia wasio na hatia, kula rushwa , kuweka mifumo ya ki imla ndani ya uongozi ulioukuta imara , kupandikiza chuki kwa unaowaongoza dhidi ya viongozi waliopita kwenye nafasi kama uliyonayo sasa na ambao wako juu yako au chini

Tujitathmini je
1.Umewahi kutuma mtu akamuue mwenzake ?
2.Umewahi hamasisha utekaji wa watu ili wanyang'anywe mali?
3.Umewahi kuwahadaa wananchi na kuwaahidi usiyoweza kutimiza?
4.Umewahi leta mgawanyo baina ya wanajamii uliowakuta wamoja kabla ya kupewa dhamana?
5.Umewahi kuamua kwa jazba mpaka kuepelekea ugumu wa maisha kwa uliowaamulia?
6.Umewahi zuia haki za watu ambazo ni za msingi?
kama ni hivyo jua siku ukifa wanayasemea moyoni japo magazeti yanaweza kupamba na kuonesha mazuri machache tu

WITO KWA WATUMISHI WA UMMA PIA NANYI ACHENI ALAMA CHANYA MNAPOFARIKI MUONGELEWE VIZURI SI KWA UNAFIKI ,BALI KWA UKWELI KWELI KABISA

Britanicca
 
Kila anapokufa mtu yeyote ndipo sifa zake uanza kuenea kwamba amefanya haya na yale, mara huyu mtu amekuwa nguzo katika suala fulani au amewezesha kitu fulani,

Hii ni tabia ya unafiki iliyojaa kwenye waafrika walio wengi , ni ama saa nyingine kuogopa kumuongelea mtu aliyekufa vibaya , ama kufuata mkumbo kuongezea sifa kwa marehemu ionekane naye anamjua,

Meseji hii ni moja kwa moja kwa wale mliopewa dhamana ya kuongoza nchi hii, ni kwa wale walio na nafasi ya kuweza kuwaongoza walio chini mfano wachungaji, wafanya biashara wakubwa, makasisi na mashehe bila kusahau wachungaji,

We kama kiongozi wa nchi uliwahi kujiuliza hivi ikitokea leo nikaondoka nitasemwa vipi au nitasemwaje? na wanaoweza kuusema ukweli ni wachache , je umewahi jiuliza kwamba pamoja na kwamba tuna tabia ya kusifia marehem je we watakusifia kwa kutoka moyoni au watakusifia tu kwa kufuata mkumbo na kuogopa ile laana ya kumsema marehem vibaya?

Kama kiongozi unayo nafasi ya kukumbukwa kwa mengi Mfano kukumbukwa kwa uongozi shupavu usioegemea upande, usio na chembe chembe za upendeleo, isiyo na aina yoyote ya unyang'anyi na kuwatishia unaowaongoza,
Kama kiongozi unayo nafasi ya kutengeneza mazingira ya kukumbukwa kwa kutowafanya wananchi kuishi kwa dukuduku na wasiwasi mpaka wengine kufika hatua ya kujipendekeza kwako ionekane unafanya sahihi kumbe ni uoga uliotawala mioyo yao,
Kama kiongozi unayo nafasi ya kuwakumbatia wote walio wako na wasio wako na kuweka tofauti zao pembeni na kuwaleta pamoja,
Kama kiongozi hutakiwa kuwa na ubaguzi wowote kati kuwateua wasaidizi wako ama watu wa kupata nafasi mbali mbali,

Tunajua viongozi wengi uacha alama kubwa nazo zaweza kuwa zina athari chanya ay hasi ndani ya jamii wanayoishi,
Ni auala la muhimu sana kuziepuka athari hasi kama vile kuua, kufilisi, kusingizia wasio na hatia, kula rushwa , kuweka mifumo ya ki imla ndani ya uongozi ulioukuta imara , kupandikiza chuki kwa unaowaongoza dhidi ya viongozi waliopita kwenye nafasi kama uliyonayo sasa na ambao wako juu yako au chini

Tujitathmini je
1.Umewahi kutuma mtu akamuue mwenzake ?
2.Umewahi hamasisha utekaji wa watu ili wanyang'anywe mali?
3.Umewahi kuwahadaa wananchi na kuwaahidi usiyoweza kutimiza?
4.Umewahi leta mgawanyo baina ya wanajamii uliowakuta wamoja kabla ya kupewa dhamana?
5.Umewahi kuamua kwa jazba mpaka kuepelekea ugumu wa maisha kwa uliowaamulia?
6.Umewahi zuia haki za watu ambazo ni za msingi?
kama ni hivyo jua siku ukifa wanayasemea moyoni japo magazeti yanaweza kupamba na kuonesha mazuri machache tu

WITO KWA WATUMISHI WA UMMA PIA NANYI ACHENI ALAMA CHANYA MNAPOFARIKI MUONGELEWE VIZURI SI KWA UNAFIKI ,BALI KWA UKWELI KWELI KABISA

Britanicca

Je wajua Tanzania ni nchi inayoongoza kwa unafiki duniani?
Hakuna mtu wa kusema ukweli hata mtu akifa, nina mfano hapa , marehemu Steven kanumba alikuwa anambaka Elizabeth Michael kwa miaka takribani 6 ila hakuna aliyekemea, na walijua. pamoja na kufa bado dogo aliyekuwa anabakwa eti anafungwa, hii si uungwana
 
Mi nimekumbuka deo fili kunjombe alale pema peponi nashangaa unafiki wa zito kahamia kwa mke wake jomonii anakula tamu ya kunjombee
 
Je wajua Tanzania ni nchi inayoongoza kwa unafiki duniani?
Hakuna mtu wa kusema ukweli hata mtu akifa, nina mfano hapa , marehemu Steven kanumba alikuwa anambaka Elizabeth Michael kwa miaka takribani 6 ila hakuna aliyekemea, na walijua. pamoja na kufa bado dogo aliyekuwa anabakwa eti anafungwa, hii si uungwana
Umesema Yote
 
Ungesubiri Mbowe amalize msiba, sasa unashindilia msumari kwenye kidonda ili iweje!
 
Je wajua Tanzania ni nchi inayoongoza kwa unafiki duniani?
Hakuna mtu wa kusema ukweli hata mtu akifa, nina mfano hapa , marehemu Steven kanumba alikuwa anambaka Elizabeth Michael kwa miaka takribani 6 ila hakuna aliyekemea, na walijua. pamoja na kufa bado dogo aliyekuwa anabakwa eti anafungwa, hii si uungwana
una uthibitisho mkuu? maana yaweza kuwa kweli ama si kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom