wewe mbona nakubembeleza kwa manenoKwa kupewa pesa.
Kwa kupewa pesa.

Eti eeh!!wewe mbona nakubembeleza kwa maneno
Sio usingizi tu bali inaongeza na siku za kuishi.![]()
![]()
Ningekata rufaa kama ungetoa jibu tofauti na hili. Mwambie kabisa dollars na pounds bembelezo lake huleta usingizi kabisa![]()
Kumbe.. ndio maana Dada zangu wanapigana vikumboKuna zawadi weka mazingira.
Punguza kuwa harsh mkuu mtreat kama mtoto mdogo baadhi ya siku
sawa mkuu ila asisahau na mtonyoHumpigi hata mabusu motomoto
Hahahaha sawa.Sio usingizi tu bali inaongeza na siku za kuishi.
Ndugu yangu si hivyoKumbe.. ndio maana Dada zangu wanapigana vikumbo![]()
The hunter himself.
