MOST WANTED
JF-Expert Member
- Aug 16, 2011
- 207
- 175
Way back nilimpenda sana nilionyesha wazi, lakini alikuwa mguu nje mguu ndani kwamba ningemchezea, ilinivunja moyo na toka hapo mawasiliano yalipungua.
Simu sometimes sipokei, sms sijibu au najibu ninavyojisikia. Sasa this time around amerudi na moto. Anatamani sana nizae nae mtoto na swali juu nimjibu kama nampenda. Honestly sina hisia naye tenaaa wadau nimjibu vipi bila kuwa na maneno ya kumuumiza?
It's a real life situation. U got nothing say stay cool. Nitasoma comments zenu.
Simu sometimes sipokei, sms sijibu au najibu ninavyojisikia. Sasa this time around amerudi na moto. Anatamani sana nizae nae mtoto na swali juu nimjibu kama nampenda. Honestly sina hisia naye tenaaa wadau nimjibu vipi bila kuwa na maneno ya kumuumiza?
It's a real life situation. U got nothing say stay cool. Nitasoma comments zenu.