The Hood
Member
- Oct 16, 2015
- 47
- 17
Habar zenu wana MMU,
Mimi ni kijana mvulana middle twenties, nna mpenzi wangu nampenda sanaaaa, tatizo ni moja tu sina hamu ya kusex nae kabxa yaani nikijitaidi nampiga bao moja then stimu inakata, ila nikisema nichepuke nafanya vizur kabxa kwny mechi za ugenini!
Hili swala limekuwa likiniumiza kichwa nadhan hata yeye linamsumbua japo hajawahi kusema ila naona kama linamkera!
Nmetry my best kupiga hata bao mbili ila nachemka yaan km vile nmerogwa hivi. Kila nkimalza bao moja nakuwa sina hamu nae kabxa naishii kumshika shika na romance za hapa na pale!
Nasisitiza tena mechi za ugenini nafanya vizuri, ya nyumban naona inakuwa ngumu why? Helps plz mambo yamenifika hapaaa....
Naomben ushaur wenu nifanyaje ili niwe na stimu nae maana nampenda lakin hii hali nahc km vile naelekea kumkosa kabxa...
Mimi ni kijana mvulana middle twenties, nna mpenzi wangu nampenda sanaaaa, tatizo ni moja tu sina hamu ya kusex nae kabxa yaani nikijitaidi nampiga bao moja then stimu inakata, ila nikisema nichepuke nafanya vizur kabxa kwny mechi za ugenini!
Hili swala limekuwa likiniumiza kichwa nadhan hata yeye linamsumbua japo hajawahi kusema ila naona kama linamkera!
Nmetry my best kupiga hata bao mbili ila nachemka yaan km vile nmerogwa hivi. Kila nkimalza bao moja nakuwa sina hamu nae kabxa naishii kumshika shika na romance za hapa na pale!
Nasisitiza tena mechi za ugenini nafanya vizuri, ya nyumban naona inakuwa ngumu why? Helps plz mambo yamenifika hapaaa....
Naomben ushaur wenu nifanyaje ili niwe na stimu nae maana nampenda lakin hii hali nahc km vile naelekea kumkosa kabxa...