Kama unataka kitu 'ready made' bila kuhangaika mfano nyumba unaweza nunua yeyote na kuishi japo haitakuwa na kila unachokitaka kwasababu hujashiriki kuitengeneza, ila kama unataka nyumba yenye mandhari unayoyajua ww kichwani mwako, inabidi uanzie kwenye kiwanja ushiriki kuitengeneza mpaka ikamilike kama unavyotaka. No shortcut in life. Hizo unazoona ziko poa kuna ambao wamezitengeneza hivyo.