Simuoni nimtakae

id yangapi hii maana hata kuomba kukaribishwa umejisahau !unamambo we mtoto!!ila nenda uswahilini hapa jeifu utapoteza mda!wengu humu tuna stresses kila raheli zaidi unaweza kuishia kumegwa at once!
mwenzangu mbona umekuwa mkali hivo nakuogopa wewe!!!
 
eehhh kumbe ni hivyo tu rafiki embu fanya kama unamwaga vigezo vyako kiaina maana labda unaset vigexo vikubwa sana kuliko unachostahili..kama utashindwa fanya PM inawezekana ndie niliekua namtafuta ka kipindi kireefuuu...over..!!
 
eeehhh umenipa za usoni..........ahsante sirudii tena, kumbe wajielewa na kujitambua hivi!!!!
assume upo kitua cha basi lengo lako ni kwenda posta ,ukiwa unasubiria gari ikija ya mwenge utapanda?
 
mwenzangu mbona umekuwa mkali hivo nakuogopa wewe!!!

Heri wewe umesema, mtu amefika kuomba ushauri, mtu from nowhere anakuja na povu. kama huna cha kusema ni heri kukaa kimya.. tena wengine humu ni baba wa familia zao ila ukisoma mistari yao unabaki na viulizo.
 

big up..unafaa kwa ushauri
 
The gud 1 z nat only 4 searching bt also 4 preparation xo juc prepare yo own man!!!
 
weeeeeeeee wengine ni mifupa iliomshinda fisi wewe binadamu utaiwezea wapi?
 

Mara mwanaume pesa, mwanaume vile, mara hv, mara you make your man, mara hv, eehhhh .......... sorry lara 1 mm huwa nashindwa kukusoma vyema ......... just tell me your attitude for favor ....... njoo PM lakini sio hadharani!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Wana MMU mbona wengine wanaonekana ako na emotions ambazo zaonekana kwenye lines zao walizoweka hapa kwa wall? Ok kwangu mimi ni pleasure kuona mnajitoa muda wenu kwa ajili ya DT (hii ni kunijali). Nitafanyia kazi ushauri wa busara uliotolewa na baadhi yenu.
 
mwenzangu mbona umekuwa mkali hivo nakuogopa wewe!!!

Sio kosa lake. Huenda kuna limsongalo ila hajalileta hapa sio kila anaetembea barabarani yuko sawa kisaikolojia. Tumsamehe
 
"I love you" has lost a lot of its meaning. Nowadays people say I love you just like they are saying hello. Love is nothing without action. When you can't believe your ears, you can always trust your heart. If you have someone that loves you...appreciat e it. Because ever since sex started becoming easier to get, love started becoming harder to find.
 

DT,
tupe wasifu wako tafadhali.


assume upo kitua cha basi lengo lako ni kwenda posta ,ukiwa unasubiria gari ikija ya mwenge utapanda?
Smile inategeme upo kituo kipi. Assume upo ile barabara ya Bagamoyo na unataka kwenda posta...itakubidi upande basi la mwenge ndipo uje upande la posta.

Again pia kama una haraka...

Nonetheless, nimekusoma na ujumbe umefika!!!!:lying:
 
Last edited by a moderator:

Mentor siwezi kuviposti hapa.
 
darling-tone unaweza kusoma ushauri huu kwa kupofya hii link hapa chini utapata pa kuanzia:

https://www.jamiiforums.com/mahusia...a-mchumba-mwenye-tabia-uzitakazo%85%85-3.html
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…