Simuoni nimtakae

Pole sana.
watu wanakupima pia kwa maneno yako.huenda muoaji yuko humu humu.
ukianza kuutumia mdomo wako "vizuri" mapema hivi, itachukua muda kupata mtu wa type yako.Moja ya sifa ulizo nazo ni ni kwamba " you are irritable".inahitaji mtu mvumilivu kuishi na wewe.
na ndiyo maana kwa sababu za "kibinadamu" hukuweza kudumu na aliyetangulia/waliotangulia
 

Asante
 

Asante, vigezo vyako vimenihukumu hivyo. Ni haki yako kusema kile ukionacho japo sio lazima kila ukionacho kiwe ni cha kweli. Siku njema ndugu.
 
Hapo RED nimepapenda
 
mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....
 
Mie kuna watu hadi nadhani hawajipendi

Wanakonda kisa hawana mme, jamani

Anyway, ni malengo ya maisha tu

mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....
 

Kama ndiyo hivi bado hujaona picha lenyewe, malizia trela kwanza. Naona unasubiria embe dodo kwenye mti wa mwarobaini.
 

cc: Tetra, Jenu
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi, snowhite, MziziMkavu, saidieni kutoa somo hapa
 
Last edited by a moderator:
mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....

Hongera sana bibie ........ ila nafasi ya -me ipo palepale, no matter unatafanya sarakasi nyingi kiasi gani!!!!!
 
Maubero
 
Last edited by a moderator:
hongera sana bibie ........ Ila nafasi ya -me ipo palepale, no matter unatafanya sarakasi nyingi kiasi gani!!!!!
mpaka awe anaiwezea hiyo nafasi sasa.sio wanaume wote ni waume wa kuishi nao ndani.
 
ID yangapi hii maana hata kuomba kukaribishwa umejisahau !unamambo we mtoto!!ila nenda uswahilini hapa jeifu utapoteza mda!wengu humu tuna stresses kila raheli zaidi unaweza kuishia kumegwa at once!

CC: darling-tone njoo clarify hii hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
mpaka awe anaiwezea hiyo nafasi sasa.sio wanaume wote ni waume wa kuishi nao ndani.

Eeehhh umenipa za usoni..........ahsante sirudii tena, kumbe wajielewa na kujitambua hivi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…