Simulizi ya kihistoria ya shujaa Muhochi

Simulizi ya kihistoria ya shujaa Muhochi

Asante mkuu mimi kama mdau wa fasihi nakupongeza kwa kazi nzuri
 
Miaka 1400 bc..wakurya walikuwepo!??,hii ni hadithi ya kweli au ya kutunga nipe jibu hapa kama ya kutunga ntakubaliana na wewe ila ukinambia ni ya kweli najiondoa jamii forums muda si mrefu!
 
Unataka unambie wakurya walikuwepo miaka 1400 kabla kristo?? Au ndo sanaa yenyewe
Halafu walikuwa wameendelea kweli. Yaani walivaa suruali na mashati ya pamba. Mwaka 1962 nilipokuwa huko, mavazi yao yalikuwa ni blanketi iliyofungwa vizuri kama lubega za Wamasai. Waliokuwa wanatakae suruali na mashati ni wa kuhesabu.
 
Kwa haya masimulizi mengineyo inawezekana Kuna ukweli, Ila hili ulotueleza kwamba wakurya walikuwepo Musoma 1400 bc. hapo bado sijakuelewa.
 
Back
Top Bottom