Sehemu ya 58.
Wakakubaliana wawapeleke wanawake hao klabu na ndivyo ilivyokuwa. Shadya hakujua kilichokuwa kikiendelea ila Naomi alisetiwa kabisa. Msichana huyo akapewa pombe nyingi, akanywa, alijiamini kwa kuwa alikuwa na Alex, alikunywa na aliposhikwa huku na kule, alilegea, yaani ni kama mwili ukakosa mawasiliano.
“Ngoja nikaruke naye,” alisema Christian.
Akamchukua Shadya ambaye alikuwa hajiwezi na kwenda naye katika loji moja iliyokuwa Sinza, akaingia naye ndani, kilichofuata ni kufanya naye mapenzi, alingoneka usiku kucha huku msichana huyo muda wote akijua alikuwa akifanya mapenzi na Alex kumbe siyo.
Wakati hayo yakiendelea, naye Alex alikuwa na Naomi chumba kingine, kwenye loji hiyohiyo. Alifanya naye ngono usiku kucha na muda wa saa moja asubuhi, alikuwa tayari kutoka kwenda katika chumba alichokuwa Shadya na Christian.
Shadya aliamka majira ya saa mbili asubuhi. Kichwa chake kilikuwa na pombe, akakaa kitanda, akajipekua chini, alikuwa ameingiliwa, tena ilionyesha siku hiyo aliingiliwa kwa muda mrefu isivyo kawaida.
Akaanza kukumbuka usiku uliopita alikuwa wapi. Akapata jibu kwamba alikuwa klabu, alipelekwa na Alex, alikunywa mpaka akazidiwa, akahisi waliondoka na kuingia ndani ya hiyo loji.
Wakati akijiuliza hivyo, mara mlango ukafunguliwa na Alex kuingia, uso wake ulikuwa na tabasamu pana, akamsogelea kitandani.
“Unajisikiaje mpenzi?” alimuuliza.
“Nimechoka sana!” alijibu kwa uchovu.
“Unataka tena?”
“Mh! Leo inaelekea ulifanya kwa kunikamia mno!”
“Kwa nini?”
“Hebu paangalie palivyo! Leo umenikomesha!” alisema msichana huyo huku akimuonyesha Alex katikati ya mapaja yake.
“Nilikuwa na hamu! Nataka tena mpenzi,” alisema Alex, akamlaza msichana huyo na kufanya naye mapenzi, kwani kwa jinsi alivyomuona asubuhi hiyo, akamtamani sana.
Huo ndiyo ulikuwa mchezo wake, kila mwanaume ambaye alimtaka Shadya, haraka sana Alex hakutaka kuremba, kazi yake kubwa ilikuwa ni kupewa pesa na yeye ndiye alifanya mchakato wa wanaume hao kufanya mapenzi na msichana huyo kwa staili ileile.