Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,019
- 454,035
- Thread starter
- #21
Sehemu ya 18
Nilisema hajui yuko na mbwa tuu? Niliumia sana. Mimi aisee nikishajua unatembea na mume wa mtu hata kama mke wa huyo jamaa sio ndugu yangu siwezi kukupenda kabisa.
Nakumbuka siku moja nilishawahi kumnyima baba mmoja spare ya gari kisa alikuwa anamnunulia hawara yake hiyo spare.
Nikamwambia zimeisha. Mara kibao nimeacha vikoba kisa najua tuu kuna wanawake wanadanga na waume za watu ,alafu niko nao vikoba, yani nikisikia ile mibebisho yao na waume za watu uwii, nasikia kuumia sana..
Yani mimi ni team mke hasa, na sio team mchepuko kabisa. Yani hii ilinipa hasira nikasema kwa Mr nimemaliza, nanza na Loi, alafu shoga yake aliyenicheka….
Yani nalala nawaza what next. Hapo bado nina lile hirizi. Nikaona sasa hapa nimefanikiwa kitu kimoja, nataka sasa nimalizie hirizi alafu nijue mume anaongea nini juu ya hili sakata na je atakuwa na mausiano mengine?
Maana nilishaona mwanaume ni mmbwa tuuu, yani unajua kuchukia, ila sasa ile msg ya kumwambia Loi kuhusu kuudhika Loi kutaka kunidhuru jamani ilinipa afya mpaka nikaanza kuhisi hamu na mume wangu baada ya muda sana, maana hata tendo ni kama nilikuwa nabakwa tuu. Nilikuwa namuangalia Mume wangu namhurumiaje,naona aliyo na mawazo.
Usiku nikajigeuza nikamkumbatia, naye akaonyesha ushirikiano, sasa nna uhakika kabisa jamaa hajadinya kama wiki hivi, maana Subiani si mchezo. Akanikumbatia akaniambia mamii uko sawa? Nikamjibu ndio mume wangu. Akaniambia call me darling.
Ha ha ha, Uwiii, Makubwa Iren, Na mimi nikajidai Darlie,wala sio darling tena, hapo najua jamaa mpyaaaa, hajadinya kitambo, Asikwambie mtu, nilipewa shoo moja hatari, ilikuwa nzuri sanaa, Huku naongeleswa ki boys two men, ile Baby ur the one and the only, Nakupenda mke wangu. Na mimi najidai nakupenda sana, nauona upendo wako kwangu, unanijali sana Darlie, si nimeshaambiwa niite Darlie.
Yani mimi kuhisi mume ni Malaya kulinifanya hata kitandani nikawa mzembe na sina hata hamu ya masham sham, yani unajua kubweteka, nilibweteka sana, Hivi unahudumiaje mtu kabisa unajua ni Malaya ama unahisi ni Malaya? Uwiii.
Asbh Nkasema hembu hili jini liniache nihudumie mume wangu mie Nikaamka, nikaandaa chai nzuri sana. Akamaliza kuoga, akaja akakuta chai mezani...
Itaendelea...
Nilisema hajui yuko na mbwa tuu? Niliumia sana. Mimi aisee nikishajua unatembea na mume wa mtu hata kama mke wa huyo jamaa sio ndugu yangu siwezi kukupenda kabisa.
Nakumbuka siku moja nilishawahi kumnyima baba mmoja spare ya gari kisa alikuwa anamnunulia hawara yake hiyo spare.
Nikamwambia zimeisha. Mara kibao nimeacha vikoba kisa najua tuu kuna wanawake wanadanga na waume za watu ,alafu niko nao vikoba, yani nikisikia ile mibebisho yao na waume za watu uwii, nasikia kuumia sana..
Yani mimi ni team mke hasa, na sio team mchepuko kabisa. Yani hii ilinipa hasira nikasema kwa Mr nimemaliza, nanza na Loi, alafu shoga yake aliyenicheka….
Yani nalala nawaza what next. Hapo bado nina lile hirizi. Nikaona sasa hapa nimefanikiwa kitu kimoja, nataka sasa nimalizie hirizi alafu nijue mume anaongea nini juu ya hili sakata na je atakuwa na mausiano mengine?
Maana nilishaona mwanaume ni mmbwa tuuu, yani unajua kuchukia, ila sasa ile msg ya kumwambia Loi kuhusu kuudhika Loi kutaka kunidhuru jamani ilinipa afya mpaka nikaanza kuhisi hamu na mume wangu baada ya muda sana, maana hata tendo ni kama nilikuwa nabakwa tuu. Nilikuwa namuangalia Mume wangu namhurumiaje,naona aliyo na mawazo.
Usiku nikajigeuza nikamkumbatia, naye akaonyesha ushirikiano, sasa nna uhakika kabisa jamaa hajadinya kama wiki hivi, maana Subiani si mchezo. Akanikumbatia akaniambia mamii uko sawa? Nikamjibu ndio mume wangu. Akaniambia call me darling.
Ha ha ha, Uwiii, Makubwa Iren, Na mimi nikajidai Darlie,wala sio darling tena, hapo najua jamaa mpyaaaa, hajadinya kitambo, Asikwambie mtu, nilipewa shoo moja hatari, ilikuwa nzuri sanaa, Huku naongeleswa ki boys two men, ile Baby ur the one and the only, Nakupenda mke wangu. Na mimi najidai nakupenda sana, nauona upendo wako kwangu, unanijali sana Darlie, si nimeshaambiwa niite Darlie.
Yani mimi kuhisi mume ni Malaya kulinifanya hata kitandani nikawa mzembe na sina hata hamu ya masham sham, yani unajua kubweteka, nilibweteka sana, Hivi unahudumiaje mtu kabisa unajua ni Malaya ama unahisi ni Malaya? Uwiii.
Asbh Nkasema hembu hili jini liniache nihudumie mume wangu mie Nikaamka, nikaandaa chai nzuri sana. Akamaliza kuoga, akaja akakuta chai mezani...
Itaendelea...