Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,019
- 454,035
Sehemu ya 01
Mtunzi Irene Mbowe
Kama kuna vitu wanawake hawaaamini ama hatuamini ni mume kukosa mchepuko. Yanii hii sijui utaniambiaje niamini.
Akili yangu inaamini kabisa mr anachepuka.
Sio kama nimemuona ama najua. Basi tu kuhisi hisi.
Alafu mbaya zaidi saa ya tendo la ndoa ndio naamini kabisa huyu mume ni kahaba, mbwa na malaya.
Nakosa hamu ya tendo, najikuta parfomance inashuka na ninaona sawa.
Maana saa ya tendo nitamsukuma, mara kumkejeli na kumbeza.
Sasa nataka kumshika niwe na uhakika.
Nimechoka kubuni na kuhisi.
Mimi pia nafanya kazi. Na ninasimamia kazi za familia. Miradi ya familia.
Sasa nimechoka kuhisi.
Nitamfumaniaje?
Naanza kupanga mikakati yangu.
Marafiki zangu woote waume zao wanachepuka na michepuko yao naijua.
Huyu wangu ni malaika? Nooo.
Anachepuka lazima.
Nitajuaje?
Nitajua tuuu.
Nimeshaanza kupanga mbinu.
***********
Nitaanza na simu yake. Nitaanza kumfuatilia akitoka tuuu ninaye. Kwa siri sanaa. Yani nataka nijue mchepuko wake. Najua anao.
Akili ikaanza kufuatilia simu. Nitajuaje pass word? Ni ngumu sana.
Dah.
Ngoja nimfuatilie akitoka. Yani siku za jumapili hatufungui ofisi. Hii hiiii.
Sasa nitafanyaje?
Ni jumapili moja nimeipania. Tumetoka kanisani tuu akaniambia anakuja anaenda kuonana na rafiki yake.
Akaondoka. Nikamsubiri aje ale hakuja. Mpaka saa tisa haji. Saa kumi na moja haji. Saa mbili usiku ananiambia sorry mami nilikuwa mbali sana. Pasha chakula nije kula mke wangu.
Mh.. hasira zikanishika hasaaa. Kweli akaja saa mbili. Nikaona hapa hapa nimpime. Akala. Akaoga. Nikasema nifuatilie simu sijaona lolote. Nikasema leo naomba tendo la ndoa. Alinipa sababu nyingi ikiwa ni pamoja na akili inawaza pesa. Na mwexi ulioisha alikopa bank milioni 50. Kama naamini lakini mhh.. namjua anavyopenda sex.
Namjua.
Akanipa mawazo sana.Nilinuna sana. Asbh nikajisogeza weee ila wapi.
Nikasema"mbwa hiii" jana ilikuwa mahali mpaka haina hamu.
Tukaenda ofisini.
Nikamuita dereva tax. Nikamuomba sanaa anisaidie kumfuatilia mr hii siku. Nikampa laki mbili.
Akafanya . Akaniambiaa hakuna kitu. Nikajua na hii ni mbwa ingine. Zinalindana.
Nikasema nitafanya mwenyewe.
Itaendelea....
Mtunzi Irene Mbowe
Kama kuna vitu wanawake hawaaamini ama hatuamini ni mume kukosa mchepuko. Yanii hii sijui utaniambiaje niamini.
Akili yangu inaamini kabisa mr anachepuka.
Sio kama nimemuona ama najua. Basi tu kuhisi hisi.
Alafu mbaya zaidi saa ya tendo la ndoa ndio naamini kabisa huyu mume ni kahaba, mbwa na malaya.
Nakosa hamu ya tendo, najikuta parfomance inashuka na ninaona sawa.
Maana saa ya tendo nitamsukuma, mara kumkejeli na kumbeza.
Sasa nataka kumshika niwe na uhakika.
Nimechoka kubuni na kuhisi.
Mimi pia nafanya kazi. Na ninasimamia kazi za familia. Miradi ya familia.
Sasa nimechoka kuhisi.
Nitamfumaniaje?
Naanza kupanga mikakati yangu.
Marafiki zangu woote waume zao wanachepuka na michepuko yao naijua.
Huyu wangu ni malaika? Nooo.
Anachepuka lazima.
Nitajuaje?
Nitajua tuuu.
Nimeshaanza kupanga mbinu.
***********
Nitaanza na simu yake. Nitaanza kumfuatilia akitoka tuuu ninaye. Kwa siri sanaa. Yani nataka nijue mchepuko wake. Najua anao.
Akili ikaanza kufuatilia simu. Nitajuaje pass word? Ni ngumu sana.
Dah.
Ngoja nimfuatilie akitoka. Yani siku za jumapili hatufungui ofisi. Hii hiiii.
Sasa nitafanyaje?
Ni jumapili moja nimeipania. Tumetoka kanisani tuu akaniambia anakuja anaenda kuonana na rafiki yake.
Akaondoka. Nikamsubiri aje ale hakuja. Mpaka saa tisa haji. Saa kumi na moja haji. Saa mbili usiku ananiambia sorry mami nilikuwa mbali sana. Pasha chakula nije kula mke wangu.
Mh.. hasira zikanishika hasaaa. Kweli akaja saa mbili. Nikaona hapa hapa nimpime. Akala. Akaoga. Nikasema nifuatilie simu sijaona lolote. Nikasema leo naomba tendo la ndoa. Alinipa sababu nyingi ikiwa ni pamoja na akili inawaza pesa. Na mwexi ulioisha alikopa bank milioni 50. Kama naamini lakini mhh.. namjua anavyopenda sex.
Namjua.
Akanipa mawazo sana.Nilinuna sana. Asbh nikajisogeza weee ila wapi.
Nikasema"mbwa hiii" jana ilikuwa mahali mpaka haina hamu.
Tukaenda ofisini.
Nikamuita dereva tax. Nikamuomba sanaa anisaidie kumfuatilia mr hii siku. Nikampa laki mbili.
Akafanya . Akaniambiaa hakuna kitu. Nikajua na hii ni mbwa ingine. Zinalindana.
Nikasema nitafanya mwenyewe.
Itaendelea....