Simulizi: Mke Wangu Juliana

Asante kwa story nzuri japo ilikuwa na arosto ya aina yake.....hope John alikumbuka kumsaidia rafiki yake aliyemfundisha kuuza samaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks for the story! It's such an excting one. Nimejifunza hapo kuhusu aina za mapacha walioungana. Licha ya kuwa ni fiction mambo ya mzee abraham yapo sana kitaa. Sema ningekua mimi john huwa amanda ningemuomba gem, namfumua sana nakula hadi mombasa halaf nampiga chn. Mwamamke anayemvulia chup mwanaue mwingne huyo ni wa kuogopa sana.
 
Nimeikubali hii iko mbuya Sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…