Simulizi: Milango ya mafanikio

Kongole mwandishi wetu
Tumejifunza mengi...
-ndoa/mahusiano
- kujituma kazi kwa bidii
-kuishi vizuri na ndg,jamii nk
-biashara na uwekezaji
_imani/dini kuishika kama Rahma

Yangu ni hayo ndg wanajamii ....mbarikiwe sana
 
Nashukuru. Nimebakiza stori moja ya bm6 baada ya hapo sintosoma Hadithi humu. Mana zinanichukulia my mental energy of thinking about them. Haya maisha yako Sana. Hata namie Ni Kama Samson Ila ingawa matukio yanatofautiana
 
Dah kumbe namie nna roho ndogo mbona nimesikitika sana mzee mgaya jmn...mkuu ulisema hiki kisa kina mahusiano na mimi na boss wangu nimeshindwa kuhusihanisha kbs kindly do the necessity bas
Kila binadamu mwenye roho nzuri ya huruma lazima asikitike.

Kuhusu kutofanana kwa stori ni sahihi, kwenye stori zote mbili Kuna vitu vingi vimepunguzwa ili kukwepa wahusika wanaomjua Samson wasihusianishe stori,

Yote kwa yote ni kuhakikisha simulizi inaleta ladha kwa msomaji
 
Asante sana Jack Daniel tumekuwa pamoja mwanzo mwisho wale wenzangu na mim wa episode mbiri wanataka michango wanalo la kujifunza kwenu watunzi nguli humu Jf
Ahsante
Suala la michango mnaweza kuchangia kwasababu waandishi wengine ni kazi zao na ndipo anapata riziki
 
Hongera jack kwa kazi nzuri.storry ilikuwa nzuri sana na kulikuwa na mengi yakujifunza
 
Ahsante
Suala la michango mnaweza kuchangia kwasababu waandishi wengine ni kazi zao na ndipo anapata riziki
Sasa si bora uione kweli hii ni kazi hata nikiambiwa changia nachangia simulizi imekaa kimchongo mchongo mtu anakuambia ni true story😂😂😂 wakati huo mi mwenyewe msomaji naona haya ni mambo ya kubuni kabisaaaaaa
 
Sasa si bora uione kweli hii ni kazi hata nikiambiwa changia nachangia simulizi imekaa kimchongo mchongo mtu anakuambia ni true story
wakati huo mi mwenyewe msomaji naona haya ni mambo ya kubuni kabisaaaaaa
Ndiyo hivyo tena unajikuta ni mraibu wa stori hivyo unapaswa ulipie.
 
It takes some of my mental energy that could be used in another activities that gonna add value for me
Ni uamuzi mzuri ili kudeal na shughuli nyingine kuliko kujipa arosto ambazo zitakufanya ushindwe kufanya mambo yako kwa usahihi
 
moneytalk beb umeshapita ?
 
Nashukuru. Nimebakiza stori moja ya bm6 baada ya hapo sintosoma Hadithi humu. Mana zinanichukulia my mental energy of thinking about them. Haya maisha yako Sana. Hata namie Ni Kama Samson Ila ingawa matukio yanatofautiana
Mkuu habari
Naomba nitag kwa story ya bm6
 
Mkuu habari
Naomba nitag kwa story ya bm6
Am not fan such. Just subscribe. My mind only it's working best when am concentrating at one task in my hand.
So hapa inabidi niiweke kichwani kuwa siku akituma nakukumbusha. It's kind of mind/mental job like any other physical job sema Sasa kwa vile Ni mental haionekani kuwa Ni kazi. Ni sawa na kumpatia mtu ushauri wa kisheria,kihasibu ama kihandisi,ama unasovu swali fulani watu hawaoni kuwa umefanya kazi Ila mpaka nibebe mawe ndio dunia iamini kuwa Nimefanya kazi Mana nitachoka nitatoa jasho.

Kwako itabidi niweke wazo kwenye mind na kuliweka Ni kazi kwangu. Huwa napenda free life.
 
Pongezi kwako Eng.jack.vya kujifunza ni vingi.haswa Kwa mzee mgaya.,ametuwakilisha wanaume vzuri.yapo mengi sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…