Simulizi: Milango ya mafanikio

Sam atakuwa na pepo sio bure
 
Mwanza Seco hii hii ninayoifahamu au uamaanisha Mwaseco ipi
 
Wooh....shule yangu hiyo, enzi zetu twasoma hapo tulikuwa smart na warembo haswaa
Mwanza Sex I remember those days asee mi nilkua Tss...sket ya kjani...Sox ndefu nyeupee na shati za Tomato...Dahh kweli wakati ni ukuta.
 
Wooh....shule yangu hiyo, enzi zetu twasoma hapo tulikuwa smart na warembo haswaa
Usikute nilikuwa nakuona wewe mpaka naomba nisije nikachaguliwa iyo shule jamani Mana ningepata najaribu kwenda mbele.
 
Reactions: ram
Acha kabisa, sketi fupi inaishia kwenye goti, rinda limesimama, socks ndefu nyeupe hadi kwenye goti......
Mungu ni mwema sna tunapumua hadi leo
Mkuu dah..umenifanya nimemkumbuka Jack wangu....sjui now days yuko wapi...Mwanza Sec....Noma
 
Reactions: ram
ram
keisangora enzi za Mwl. Marwa kama headmaster kulikuwa na pisi kali mno...sijui alikuwa anawapoint huko mashuleni


Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sema ndio unakuta binti ama vijana wako kwenye Ile peak yao ya uzuri,balehe,yaani kwenye top of pyramid baada ya hapo ananza kuanguka chini. Titiii zitahitaji sidiria Ila before ilikuwa yenyewe imechomoza na ime point Kama mshale wa jumong.
Kuhimili hizo Mambo na huku kichwa kitulie kielewe logarithmic and Archimedes principle Ni inverse proportional
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…