Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Kiukweli hii ni best story, kati ya story zote nilizowai kuzisoma kutoka kwako Shunie ....hii story imenifundisha mambo mengi sana, naimani hadi uje kuimaliza....I hope nitakuwa nimejawa na makaratasi kede kichwani.

Hongera sana kwa uandishi mzuri, ama hakika wewe ni mwandishi bora sana....ila pia nasema asante dear Shunie .....naomba ukumbuke, ahadi yangu ipo palepale.

Uwe na siku njema mpendwa.

NAISUBIRIA HII....
 
Moyo una vyumba vinne, kimoja cha Archduke, kingine cha kusukumia damu.

Vinabaki vyumba 2, hivyo unavipeleka wapi?

Naomba nimiliki chumba kimoja tafadhali
@archduke anamiliki moyo wote kias kwamba sioni nafasi yako kokote pale

Laiti ningekua na uwezo ningekufungulia moyo wangu uone unavyopiga juu ake

Me am in love bana!! Yan nalala Archduke naamka Archduke nikila Archduke he is always on my mind 24/7

moneytalk pls comman collect your bae.
 
@archduke anamiliki moyo wote kias kwamba sioni nafasi yako kokote pale

Laiti ningekua na uwezo ningekufungulia moyo wangu uone unavyopiga juu ake

Me am in love bana!! Yan nalala Archduke naamka Archduke nikila Archduke he is always on my mind 24/7

moneytalk pls comman collect your bae.


Babe wangu nipo naye huku, hapa atakuja baadae sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom