Simuelewi mpenzi wangu

Simuelewi mpenzi wangu

kazi unayo...

huyo ana foleni ya akina Excel anaowachunguza!

yawezekana wewe uko mwishoni kabisa! so faili lako huwa analipitia wakati wa kulala akiwa na usingizi mzito!!

by the way, kuchunguzana ni pamoja na mawasiliano... sasa kama unachunguzwa kihivyo... ni zamu yako kuchunguza!
 
Last edited by a moderator:
Sikwambii weka picha maana Ipo tayari!
Kama kusoma hujui hata hiyo picha huioni?

Ushauri unaokufaa ni
achana nae halafu endelea kumvumilia!
 
Sasa hayo ni mahusiano unavyoona wew???apo wew ni msindikizaji tu
 
Kama anakupenda kweli,jalibu kumwambia umepata mpenzi mwingine na unataka umuowe.ili uone atachukuliaje swala ilo.
 
Huko 38 ni umri wa kuwa tayari una watoto kilochobaki unalea tu

dogo mbona unakuwa mbishi? Umeomba ushauri na wewe unaanza kutoa ushauri! We pokea na ufanyie kazi. Pia jaribu kutafakari ushauri wa wakubwa kabla ya kujibu. Waswahili walisema asiesikia la mkuu?.......... Shauri yako mi naheshimu mawazo ya mkuu "jawilat"
 
Uuuuupsi pole sio wako huyu...picha ushaliona....take ur Tyme don't hurt ur self
 
dogo mbona unakuwa mbishi? Umeomba ushauri na wewe unaanza kutoa ushauri! We pokea na ufanyie kazi. Pia jaribu kutafakari ushauri wa wakubwa kabla ya kujibu. Waswahili walisema asiesikia la mkuu?.......... Shauri yako mi naheshimu mawazo ya mkuu "jawilat"

Sio kila ushauri unafaa, huyo anapenda kulea watoto uzeeni. Wengine tunapenda tulee tukiwa bado strong na ujana
 
Muwache na ubishi wake,...aoe tu alete na kadi humu jamvini michango tutatoa asijali...yakimshinda pia alete humu jamvini ushauri tutatoa.
dogo mbona unakuwa mbishi? Umeomba ushauri na wewe unaanza kutoa ushauri! We pokea na ufanyie kazi. Pia jaribu kutafakari ushauri wa wakubwa kabla ya kujibu. Waswahili walisema asiesikia la mkuu?.......... Shauri yako mi naheshimu mawazo ya mkuu "jawilat"
 
Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa nahisi umefika muda muafaka wa kuwa na mwenza wa kujenga nae maisha na familia. Kuna mdada ambae nilitokea kumpenda na ninatamani awe mke wangu.kiukweli toka tumeanza mahusiano hatujawahi hata kusex na Tatizo lililopo ni kuwa simuelewi kabisa maana inaweza pita hata miezi miwili hatujaonana na kila nikimhitaji anadai yupo busy nikimuomba niende kwao angalau nimuone hataki na anakuwa anatoa visingizio tu so tunaishia kuwa wapenzi wa kuongea na simu tu na kuchat japo pia sometimes simu huwa hapokei na wala sms hajibu na nikimuuliza mbona unanifanyia ivo mpaka nakuwa sikuelewi anajibu kuwa bado ananichunguza. Tuna miezi minne toka tuanze mahusiano bt nahisi nmechoka na nahitaji nitafute mtu mwingine. Pls naombeni ushauri niendelee kumvumilia au niachane nae?

ha ha haaaa.tusindikze tupendwao buana.anakuchunguza kwan ye FBI????
 
Back
Top Bottom