Miezi minne tu unataka umuelewe binti na uoe? Jipe muda ndugu yangu. JIPE MUDA USIJE KULIA TATA!Wakuu habarini napoleni pia na mahangaiko ya kujitafutia ridhiki.
Naombeni ushauri maana simuelewi huyu mchumba wangu.
Nilikutana na huyu binti miez 4 iliyopita na wakati nakutana nae nilimpenda sana basi nikazungumza nae tukakubaliana kwa sharti moja tukapime afya zetu kwanza.
Tukapima na wote tupo safi, baada ya muda nilimhitaji tukutane kimwili aliniambia kufanya hvyo kabla ya ndoa ni dhambi kubwa hvyo kama nampenda nimuoe maana yeye yupo tayari nimuoe hata saa hizi kuliko kuzini.
Basi kwa vile nampenda sikua na namna ya kukataa matakwa yake, nilivyomuambia nipo tayari kufata taratibu za kulipa mahari yeye akaja niambia hayupo tayari kuolewa sahz hvyo kama nampenda basi nimsubiri adi mwaka keshokutwa 2024ndipo nimuoe.
Kumuuliza kwann ananiambia hvyo wakati alishaniambia nimuoe hata sasa anasema yy kaamua tu aolewe 2024 ana mipango yake anataka aitimize kwanza, kumuuliza ni mipango gani hyo hasemi anasema kaamua tu, je ananipenda kweli huyo?
Maana SIMUELEWI hanichuni wala nn nikikwama ananisaidia na ushauri mzuri ananipa shida hapo Nahitaj kula tunda hataki ad nimuoe na process ya kumuoa yenyewe anaipigapiga kalenda... Nisaidien mawazo wakuu
Tatizo wewe si mkweli na kulidhibitisha hilo rudia kusoma uzi wako.Mkuu yeye ana miaja 24 namm nina 28,kama starehe nishafanya sana sasa hakuna ladha ambayo siijui, ninachohitaji nioe niangalie maisha k ama upuuzi nishafanya sana
Anabaniwa Pagale sio ahahahaahahaHuyo alikuwa anakunyima uchi. Hakuwa na mpango wowote wa kuolewa.
Ndiyo kusema kuwa, usijihangaishe. Nenda naye taratibu, lazima alambwe huyo.
Nikuchekeshe?
Wa kujidai hivyo, unaweza ukapewa ukasema hili ni pagale au pango? Inasoma mileage za kutosha.
Naam
😂😂😂Huyo alikuwa anakunyima uchi. Hakuwa na mpango wowote wa kuolewa.
Ndiyo kusema kuwa, usijihangaishe. Nenda naye taratibu, lazima alambwe huyo.
Nikuchekeshe?
Wa kujidai hivyo, unaweza ukapewa ukasema hili ni pagale au pango? Inasoma mileage za kutosha.
Ha ha ha jina lako tu mi hoi..nini asili yake?au ni hilo giza kwa avatarHivi kweli ndio elimu bure imefeli hivi jamani?
Anakutana na korongo 😂Sophy,
Hivyo ndivyo huwa.
Pamoja sana kakaIla comments za wadau zinapanikisha kichizi [emoji23][emoji23]
Bro we mpe statement moja tu "Nikuoe sasa hivi au nitafute mwingine?"
Katasema tu, we hunipendi, ungenipenda ungevumulia nyoko nyoko nyingi, ila mwambie leo ndio uamue hatma yetu, ukisema nikuoe kesho kanisani, ukisema siwezi nikiondoa mguu wangu hapa ndo imeisha hiyo
Na mwanamke anatakiwa kumsubiri mwanaume sio mwanaume unamsuburi mwanamke
Jipe week 2 tuu za kumkaushia,akipiga simu mara 10 pokea 2 tuu ,akituma meseji 20 jibu 3 tuu halafu sikilizia reaction yake.kama kweli anakupenda itajionesha na kama hakufeel pia utaona.Mkuu huyu binti ni mlokole na matakwa yake nimuoe hata sahz ili tusizini nimekubaliana nayo sasa najiuliza kwann anipige kalenda wakat kipato changu kinaniruhusu kuoa hata sasa?kama ni mipango ni vyema akaiweka waz ili nijue namsubir kwa ajili ya nini lakin hasemi zaid yakusema ameamua tu, haombi vitu ila anahakikisha ata nikikwama ananisaidia shida hapo tu SIMUELEWI nataka tunda yy hatak ad nimuoe na kumuoa kwenyewe ananipiga kalenda wajuzi wa mambo mnamuelewaje hapo?
Jipe week 2 tuu za kumkaushia,akipiga simu mara 10 pokea 2 tuu ,akituma meseji 20 jibu 3 tuu halafu sikilizia reaction yake.kama kweli anakupenda itajionesha na kama hakufeel pia utaona.
Au huyo manzi anampenda jamaa mwingine ila nayeye anazungushwa ,hivyo anajipa muda huenda akakubaliwa ila ikifika 2024 hajakubaliwa ndio ataamua kuolewa na jamaa yetu mleta uzi.Anamsubiri anaempenda, anahisi hapo katikati atakua kajirekebisha so ataolewa nae. Wewe ni kama back up, huyo jamaa akizingua mpaka 2024 basi ww kilaza utamuoa.
Kwahiyo ni kusubiri tu, ila 2024, ni uhakika coz huyo jamaa yake atakua hana mpango nae baada ya kupiga atakavyo.
Atoe game basi huku akiendelea kutimiza ndoto zake.Na yeye ana ndoto zake maishani acha azitimize...
Kumbe huwa unakwama? Ukimuoa mtakula nini sasa mkikwama?Wakuu habarini napoleni pia na mahangaiko ya kujitafutia ridhiki.
Naombeni ushauri maana simuelewi huyu mchumba wangu.
Nilikutana na huyu binti miez 4 iliyopita na wakati nakutana nae nilimpenda sana basi nikazungumza nae tukakubaliana kwa sharti moja tukapime afya zetu kwanza.
Tukapima na wote tupo safi, baada ya muda nilimhitaji tukutane kimwili aliniambia kufanya hvyo kabla ya ndoa ni dhambi kubwa hvyo kama nampenda nimuoe maana yeye yupo tayari nimuoe hata saa hizi kuliko kuzini.
Basi kwa vile nampenda sikua na namna ya kukataa matakwa yake, nilivyomuambia nipo tayari kufata taratibu za kulipa mahari yeye akaja niambia hayupo tayari kuolewa sahz hvyo kama nampenda basi nimsubiri adi mwaka keshokutwa 2024ndipo nimuoe.
Kumuuliza kwann ananiambia hvyo wakati alishaniambia nimuoe hata sasa anasema yy kaamua tu aolewe 2024 ana mipango yake anataka aitimize kwanza, kumuuliza ni mipango gani hyo hasemi anasema kaamua tu, je ananipenda kweli huyo?
Maana SIMUELEWI hanichuni wala nn nikikwama ananisaidia na ushauri mzuri ananipa shida hapo Nahitaj kula tunda hataki ad nimuoe na process ya kumuoa yenyewe anaipigapiga kalenda... Nisaidien mawazo wakuu