Wanasema usiusemee moyo wa Mwingine, huwezi jua akiona hali ngumu anayoipitia Mwenzake akaingiwa huruma akampa hata mtaji ajiajiri.Hapo kwenye mambo safi na kupigwa tough ndiyo sijapaelewa yaani upigwe tafu na pesa za mwaume mwezio anayehudumia mke wake? Kuna tukio unalitazamia wewe eeh shauri tabia za kimarioo hizo.
Sjasahau ndo maana nikaimajin kwa upande wanguUsisahau kuna Watu wamejaliwa kusamehe na kusahau.....ni Wachache lakini wapo.
Duh, ni noma...ila inategemea na Mtu na tabia yake.Mkuu wanawake wana visasi vizito hasa kwenye suala la kuumizwa ki hisia
Nilishawai muumiza mdada hivy hivy yaani kilichotokea ni hatari nilijutaaaaa
Na aliniambia bado maisha yangu nitajutia labda niwe mbali sna nae au nife