Simuamini tena mke wangu!

Simuamini tena mke wangu!

Huo ndio uhalisia, hata kama mkeo anakuzidi mshahara mara kumi, hizo ni hela zake wala hazisaidii ugumu wa maisha!! unatakiwa umchukulie kana kwamba haingizi kipato chochote, komaa ujenge familia yako, best wishes!! Sisi wengine kwa kukwepa ma-stress kama hayo tumejichukulia wanaojua kusoma na kuandika tu, sasa wapo nyumbani wanalea watoto katika misingi inayotakiwa....
 
Nawashukuru kwa ushauri mzuri! Nimemhangaikia sana huyu bbie na kaanza kazi mwaka huu hana muda mrefu i thought akianz kaz pengine ningepata ahuen lkn sion kabisa mwanzon alianza vizuri akawa yupo wazi kwa vile ndo alikuwa hajastabilize nikaona ngoja nivae ubaba hizi siku ambazo nimekaa naye nimebaini mambo yake yako private sana anyway almost huwa namwambia kila mpango wangu ninaotaka kuufanya lkn yy wapi hata nikituma 20 elfu kwa bibi ntamwambia da nilienda kuangalia jinsi ya kumfanyia uhamisho na nikawa nimeingia gharama kwa jinsi alivyoniboa nimeamua nisitishe hilo zoezi nijaendelee na maisha yangu! Khnachoniuma nimepotez dili zangu nyingi na nimeacha kazi kibao zinanisubiri then naishia upuuzi very disappointing!
 
Nawashukuru kwa ushauri mzuri! Nimemhangaikia sana huyu bbie na kaanza kazi mwaka huu hana muda mrefu i thought akianz kaz pengine ningepata ahuen lkn sion kabisa mwanzon alianza vizuri akawa yupo wazi kwa vile ndo alikuwa hajastabilize nikaona ngoja nivae ubaba hizi siku ambazo nimekaa naye nimebaini mambo yake yako private sana anyway almost huwa namwambia kila mpango wangu ninaotaka kuufanya lkn yy wapi hata nikituma 20 elfu kwa bibi ntamwambia da nilienda kuangalia jinsi ya kumfanyia uhamisho na nikawa nimeingia gharama kwa jinsi alivyoniboa nimeamua nisitishe hilo zoezi nijaendelee na maisha yangu! Khnachoniuma nimepotez dili zangu nyingi na nimeacha kazi kibao zinanisubiri then naishia upuuzi very disappointing!
 
Haya ndiyo matatizo ya wanaume wa cku hizi wanaoa wanawake wenye kazi ili kupunguziwa majukumu yao! Aaaagh! Kwani kutuma pesa home ni tatizo? Labda kama hajakushriksha! Je,mlikubalianaje kuhusu matumizi yenu ya pesa?au umemkurupusha tu?afterall mwanaume ndiye mwenye jukumu la kutunza familia zakwangu nitatoa nikiamua tena penye ulazima eboo! usilalamike kakope! ndo uanaume huo!
Pole sana ndugu!
Msingi WA ndoa ni upendo! Moja ya nguzo kuu ya upendo ni kutojitakia mambo yake kwa ubinafsi! Na ndoa ni kuachana na ndugu/ jamaa na kuambatana ma mwenzi! Nachoona kwenu ni kutoambatana! Mkeo tupo kivyake na we kivyako. Taratibu ule upendo wa ndugu zake umechukua nafasi yako, after all, ww umekutana naye ukubwani,wakati ndugu zake ni tangu utotoni. Njia pekee ya kuukuza upendo wenu ni kukua pamoja! Cha kufanya ni kuanza upya, ukicheza hii ndoa yako utaipoteza! Tafuteni njia ya kuwezesha muwe pamoja na muyaongee na kuyamaliza! Unalalamika hushirikishwi matumizi ya pesa, kwani vitu vingine vya kila siku mnashirikishana!? Ni wazi hayo hayawezekani kwani ww upo dar na yy mara! Kama hushirikishwi basi kuna mwingine anashirikishwa. Hata ww kwa umbali huu kuna mambo humshirikishi! Rudisheni familia, acheni ujinga. Kazi inapatikana popote!
 
Ujinga huu ndio unasababisha watu wengi wakishaoa wanawaachisha wake zao kazi! maana mwaka mzima yuko kazini lakini hakuna anachosaidia hapo nyumbani. si bora ashinde nyumbani tu! mkuu Edison hebu jipe muda kidogo utafakari kisha fanya maamuzi magumu, mrudishe mama nyumbani alee familia. hizo kazi zake hazisaidii familia yenu.
 
Wala tatizo si pesa, tatizo ni hakuna mawasiliano kati yenu.

Mie siwezi samehe mwenza anayetuma pesa kwao bila kunishikisha, awe mke au mume.

Na kwa kujibu, eti kwani ubini umeandikwa wa nani, tayari keshakupanda kichwani, sioni pa kumrekebisha zaidi ya kuvumilia tu kwa hatua aliyofikia.

Hata siku moja siwezi mjibu baba nani eti kwani ubini wa nani. Mume ana heshima yake jamani, khah!
 
Ujinga huu ndio unasababisha watu wengi wakishaoa wanawaachisha wake zao kazi! maana mwaka mzima yuko kazini lakini hakuna anachosaidia hapo nyumbani. si bora ashinde nyumbani tu! mkuu Edison hebu jipe muda kidogo utafakari kisha fanya maamuzi magumu, mrudishe mama nyumbani alee familia. hizo kazi zake hazisaidii familia yenu.

either mke atafute kazi dar au mume akatfute mara! Usimuachishe kazi! Mkiwa pamoja hayo no nadogo sana, atajirudi tu!
 
Mie mwanamke asiyetaka kumsaiidia mumewe na hali anao uwezo namuonaga kilaza wa kwanza, sasa mihela unaitafuta aile nani kama si uwapendao, mume na watoto wakiwemo? Kujazana ujinga tu, mwanamme majukumu, kama naye siku hiyo hana, na kweli hana, na mke unazo kwa nini usimpe? Labda kama kidumu.
Yaani unanuoma mume kapanda kitandani anasononeka hana hela ya ada, na mke anazo, na bado unakataa kumsaidia? Kwanza kufanikiwa kwa watoto sio sifa ya mume tu, ni sifa kwa familia nzima.

Hizi elimu bado hazijakomboa baadhi wanawake kabisa. Mtu anapata hela halafu hazitumii kwa wahusika wa kwanza? Tufyakwa!
 
Mkeo anakosea sana kutuma pesa pasi kukushirikisha, manake ni jambo jema sana kushirikiana kwenye maisha. Edson mbona hili sio kosa la kutomuamini mkeo?? manake wewe kama baba wa familia swala la ada ya shule ulipaswa uwe umesha lifikiria kabla.

ingekuwa busara kama ungeweka ndani mwako utaratibu wa akaunti za watoto kwaajili ya ada na matumizi yao hili lingepunguza sana hizi karaha. nani atakuwa naweka pesa kwenye hii akaunti ni jukumu lako ila kama mkeo akiona ni busara basi ataweka na usifanye kwa kificho mwambie wazi kwamba unafungua hiyo akaunti.

siri ya pesa za mwanamke hivi jisemee moyoni mwako"" PESA YAKO MKE WANGU UKINIPA NITAPOKEA NA TENA NAITAMANI SANA ILA SIKUOMBI NG'OO""
 
Last edited by a moderator:
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?
Hapo ana data zako pesa zako u.n.a.t.o.m.b.e.a ndo mana nayeye kaona ajipange kivyake jichunguze ndugu
 
Wanamme ndio mnasapoti huu ujinga, sijui ili kulinda ego zenu.

Hivi kwa resourse chache zilizo ndani ya familia, unaruhusuje pesa ya mkeo iwe inachezewa? Mtaanza ku-investi lini? Mie naona mnasapoti ujinga, ujinga tena ujinga.

Ndio maana familia nyingi zinasumbuliwa na umaskini wa hiari, eti hela ya mke ni yake tu.
Huo ndio uhalisia, hata kama mkeo anakuzidi mshahara mara kumi, hizo ni hela zake wala hazisaidii ugumu wa maisha!! unatakiwa umchukulie kana kwamba haingizi kipato chochote, komaa ujenge familia yako, best wishes!! Sisi wengine kwa kukwepa ma-stress kama hayo tumejichukulia wanaojua kusoma na kuandika tu, sasa wapo nyumbani wanalea watoto katika misingi inayotakiwa....
 
Umejuaje kama ana.tom.bea? Sijaona popote kwenye maelezo yake akisema hilo.

Eti Edson, tuhuma hizi ni za kweli?
Hapo ana data zako pesa zako u.n.a.t.o.m.b.e.a ndo mana nayeye kaona ajipange kivyake jichunguze ndugu
 
Last edited by a moderator:
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?

bro hawa watu huwa wanabadilika sana,nakushauri upigane kufa na kupona ulee wanao.haijalishi unakipato gani,kama wako kwa mama yao we jua hawata kufa njaa ila mambo mengine komaa na wanao
 
Mkeo anakosea sana kutuma pesa pasi kukushirikisha, manake ni jambo jema sana kushirikiana kwenye maisha. Edson mbona hili sio kosa la kutomuamini mkeo?? manake wewe kama baba wa familia swala la ada ya shule ulipaswa uwe umesha lifikiria kabla.

ingekuwa busara kama ungeweka ndani mwako utaratibu wa akaunti za watoto kwaajili ya ada na matumizi yao hili lingepunguza sana hizi karaha. nani atakuwa naweka pesa kwenye hii akaunti ni jukumu lako ila kama mkeo akiona ni busara basi ataweka na usifanye kwa kificho mwambie wazi kwamba unafungua hiyo akaunti.

siri ya pesa za mwanamke hivi jisemee moyoni mwako"" PESA YAKO MKE WANGU UKINIPA NITAPOKEA NA TENA NAITAMANI SANA ILA SIKUOMBI NG'OO""

acheni ujinga, mke na kila kitu alichonacho ni cha mme, na mme hali kadhalika! Chochote apatacho mkeo LAZIMA akiweke kwenye kapu la familia ambalo lina mapato yote ya mume yamo! Ndio mnaanza kupanga kipi kianze na kipi kisubiri! Kama hawezi achana nae maana ni either yupo nawe au kinyume!
 
Last edited by a moderator:
acheni ujinga, mke ma kila kitu alichonacho ni cha mine, ma mine halo kadhalika! Chochote apatacho mkeo LAZIMA akiweke kwenye kapu la familia ambalo lina mapato tote ya mine yamo! Mocha mnaanza kupanga kipi kianze na kipi kisubiri! Kama hawezi achana bar maana ni either yupo nawe au kinyume!
hebu rudi kwanza kajifunze kuandika ndipo uje uonyeshe ujinga wangu.
kama huwez kusoma na kuelewa basi usijibu manake ukijibu utajibu makosa.
 
Mimi na wife tumebahatika kupata watoto 2 wa kiume! Mm nafanya kazi dsm yy anafanyia mara. kijana wetu yupo grade 1 kwenye hizi academy! Takriban wiki kadhaa nilienda kumsabahi! Nije kwenye pt niligundua amekuwa akiwatumia ndg zake pesa nyingi paspo kunijulisha nahc kuna business wanafanya yy na dadake! Niligundua baada ya kumwambia kwamba mm kulingana na ujio wangu siko fresh kiuchumi hivo jitahidi ada ya mtoto make ndo wanafungua mwezi wa tisa kwa kifupi alinipa majibu ya kunikatisha tamaa akadai hana hela na isitoshe kwenye ubini wa mtoto anaandikwa yy au mm? Km sitaki kumsomesha akae nyumbani! Nikamuuliza km waweza tumia ndg zako malaki ya pesa unashimdwa nn kumlipia mwanao? Akakanusha wakati mm nilicheki kwenye mpesa ametuma pesa two times tena last month! Tukazinguana sana mm nikapanda basi nikasepa kwa ufupi hana mpango wa kusaidiana na mm ktk kusukuma gurudumu! Nimfanyaje mke wa namna hii?

Looks like true story.. Pole sana..

Kutokana na ndoa yenu kuingia dosari kama unataka kuokoa ndoa yako..namba moja... hakikisha mnaishi pamoja..sio yeye yuko Mara na wewe uko Dsm..

Hakuna atayekufundisha jinsi ya kuongea na mke wako hapa kwenye forum... tumia busara wekeni wazi mapato ya familia na matumizi..sio dhambi kwa mwanamke kusaidia familia yake kinachotakiwa ni uwazi..
 
Nimesha edit, so unajua autotext iilvyo ma kihelex2!
 
Back
Top Bottom