Simu zitakazopata android 5.0 aka lollipop

Feature zote za Android L zipo kama vile za kwenye nexus devices ..


Lag zipo.. Lakini ni occasional sana ila sasa hivi multi tasking ipo fast sana..

Battery life sijaona tofauti maana back nilivyo kuwa kwenye kitkat nilikuwa napata 4 hrs and 30mins za screen on time using 3g/HSPA.. Na 6 hrs with WiFi na sasa naona ni sawa tu kama zamani.

Major change hapa ni cosmetic, maana kusema ukweli android l kimuonekano inavutia..
 
mm Nina HTC one m8 nitafanyeje niweze ku upgrade to that particular level.5.
 
Hivi si simu zote zinazokuja na Kitkat zita upgrade kuja Lolipop?

sio zote hadi mtengeneza simu atoe update. mara nyingi simu muhimu za kampuni ndio zinapata update kama vile simu zinazouzwa bei kubwa au simu ambazo zimeuza sana. ni nadra kukuta simu za bei rahisi zinapata update
 
sio zote hadi mtengeneza simu atoe update. mara nyingi simu muhimu za kampuni ndio zinapata update kama vile simu zinazouzwa bei kubwa au simu ambazo zimeuza sana. ni nadra kukuta simu za bei rahisi zinapata update

Ok asante mkubwa...
Last query hapa nina Jamaa yangu kapigishwa Sony Xperia Z2 nshajua tu hii ni clone maana bei tu aliyouziwa ni 150,4MP instead of 20MP,Muonekano wa Laucher sio ya Sony hii na wala hajabadilisha...Mtumiaji sio mtaalamu ni newbie kwenye android ila kilichonishangaza akienda kwenye "About phone" android version ni 4.4.2

Je,Mediatek zina run Kitkat kweli?
Maana habari nilokua nayo ni kwamba hii kitu hai run kwenye low end chipsets na nafikiri hii sony yake itakua MTK...
 

Attachments

  • 1421354744577.jpg
    26.2 KB · Views: 316
  • 1421354762534.jpg
    19.7 KB · Views: 294


Hilo ni gaka mkuu
 

yap mediatek zinarun kitkat zipo zinazokuja nayo kabisa kama android one, na zipo chip mpya zinasuport update nafkiri lakini ndio zinakuwa hazitake advatage ya feature zote
 
Umenikumbusha zamani sana..... Mpaka leo ninayo L7 ktk begi iliharibika charger system. Ila ndo hivyo spears hakuna... Ila nimezimiss sana HELLO MOTO.
 
huawei most ni ---- so haziwezi, hizi za y-series sahau, mediatek kupata official update ni ndoto, next time jiue nunua real toy, btw ikipigwa code inaenda tu lollipop

Sio kweli mkuu nimeiupdate lenovo s 860 na imekubali na INA chip ya mediatek
 
Yakwangu hii naomba msaada (Galaxy Meg ina 4..2..2 niki aptudet inakuja ila simu inasema reboot ila haimalizi kazi
 
Mie cjui maana ya technological terms kama hizi jamani: jelly bean,kitkat,CPU,RAM,ROM,1.2GHz/1.3GHz,cjui 3G,2G,4G n.k
Wataalam kina chief Mkwawa and the like p'se nisaidieni make jf darasa tosha.
Aksanteni.

kumbe nami ninauafadhali
 
mi na s2 yngu lolpop kam kawa via cyanogen
 
Nimeipenda opposition ya kuhamisha app to internal memory kwenda sd card
 
Nimeipenda opposition ya kuhamisha app to internal memory kwenda sd card


aisee mkuu sijui ndio typing error au vipi yaani ulichoandika hapo juu wala hakieleweki. . sijui ulimaanisha nini mkuu
 
Nadhan alitaka kusema option instead of opposition lugha za watu hizi, hata wazungu wanachapia kiswahili juxt like that,
 

Hatimaye HTC one max yapata lolpop 5.0.....ndio napakua muda huu nitawapa mrejesho......nawasirisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…