- Sensa za Undani / Depth Sensor ambayo inafanya upangaliaji wa pikseli ( Seli za Picha ) / Pixels katika mtiririko iliyokuwa ndani ya uwezo wa kamera, kupitia hii ndio utapata Bokeh, Light Leak's, Blur na Len's Flares
- Upana katika pembe / Wide Angle hii inakusanya taarifa ya picha katika upana na kuitundika katika uhalisia huku ikisaidia upanuaji na ukuzaji wa picha husika
- Lenzi yenye upana zaidi / Ultra Wide Angel Lens ambayo husaidia ukusanyaji, usambazaji na uchakataji wa taarifa katika picha moja yenye upana zaidi hii Ultra Wide inaakisi zaidi kushinda wide angle pasi yakufikia Panorama Mode.
- Lenzi mpangilio wa Rangi / Monochrome lenses na Telephoto lens hii inatumia hisia, na hali ya sasa kuchakata mpangilio wa rangi, mandhari na kuinakili picha katika mg'ao (Sharpen) pasi ya kupoteza uhalisia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.