Katika kipindi cha leo "Mahusiano katika familia" kinachorushwa na Radio One, kulikuwa na hiyo mada. Katika maongezi na majadiliano yaliyojiri imebainika kuwa wote wawili (me/ke) ni waathirika wa Simu ya mkononi.
Swali la msingi Je, wewe ni mwathirika wa simu ya mwenzi wako? Kama ni mwathirika huwa unachukua hatua gani?
Kuna kingine zaidi ya michepuko???
Kila mtu akae na simu yake maisha yaendelee, maisha yenyewe haya vurugu bado tena ujitafutie vurugu za kumchunguza mtu....
Wanasema Simu ya mwanaume ni kama "kitunguu maji, ukikikata lazima ulie" kwa yale utakayoyakutaπ kama unampenda na hauko tayari kumuacha basi usipendelee sana kushika simu yake, jiepushe na stress sizisizo na ulazima. Kila mtu abaki na simu yake tu.
Kuna kingine zaidi ya michepuko???
Kila mtu akae na simu yake maisha yaendelee, maisha yenyewe haya vurugu bado tena ujitafutie vurugu za kumchunguza mtu....
Wanasema Simu ya mwanaume ni kama "kitunguu maji, ukikikata lazima ulie" kwa yale utakayoyakuta
kama unampenda na hauko tayari kumuacha basi usipendelee sana kushika simu yake, jiepushe na stress sizisizo na ulazima. Kila mtu abaki na simu yake tu.
Wanasema Simu ya mwanaume ni kama "kitunguu maji, ukikikata lazima ulie" kwa yale utakayoyakuta
kama unampenda na hauko tayari kumuacha basi usipendelee sana kushika simu yake, jiepushe na stress sizisizo na ulazima. Kila mtu abaki na simu yake tu.
Nimeoa au tupo kwenye mahusiano, tunalala uchi na chakula anachopika nakula bila shaka yoyote ila kwenye simu tu ndio nikae nayo mbali!? Ni bora tu niishi mwenyewe.