Simu Za Non Removable Battery

Hizi cm sinunui bora nibaki na alcatel tu.

Ukiona simu non removable battery basi ujue hiyo ni simu ya ukweli labda kama ni brand ya mchina
Device zenye matatizo ya kustuck na bettry mbofu mbofu hazitengenezwi non removable battery
 
Ukiona simu non removable battery basi ujue hiyo ni simu ya ukweli labda kama ni brand ya mchina
Device zenye matatizo ya kustuck na bettry mbofu mbofu hazitengenezwi non removable battery

Hivi Tecno anatoleo ambalo ni Non Removable?

Hizi cm bettery zake kubwa.sana. Mfano.hiyo huawei ascend p6, kitu 2000mAh sio kitoto.
 

Umesema una iPhone ya Miaka 7.
Ok. 2013-7=2006

Tuendelee..
2013----Iphone 5S
2012----Iphone 5
2011-----Iphone 4s
2010-----Iphone 4
2009-----Iphone 3GS
2008-----Iphone 3G
2007----Iphone Original (Sijawahi kuiona).
2006----???????

Tusaidie mkuu.
 
nadhan kwa nchi za kimaskini kama zetu ambazo technical support ni ndogo bora ku deal na samsung tu!!! vp midcom mbona dealership yao na nokia kama ya kiujanja janja wana technical support kweli na issue za warranty kwa cim za nokia??
 

Ameanza kuhesabu na 2007 kama mwaka wa kwanza na 2013 kama mwaka wa 7
 
Vitu vigeni bwana vikiianza kuingia kila mtu asema lake.
Mpaka leo sidhani kama kuna mtu anahofia tena simu za non removable betri
 
HTC wilf fire ilikuwa simu yangu pendwa sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…