Sita Sita
JF-Expert Member
- Aug 25, 2008
- 1,449
- 622
Mkuu mi nilishika simu ya wife siku moja almanusura nimtoe roho ... from the messages she was sending to her friend (a guy)
Baadae nikafanya uchunguzi kumbe yule jamaa ni BWABWA (a gay)
Nikamshukuru Mungu kwa kuniepusha na dhambi ya kuua
Ila all in all; andika msg ambayo u are sure your spouse akiiona hatokasirika; ukitaka kufanya uhuni piga simu
messages noma sana maana hujui kule inapoenda inasomwa na watu wangapi
Baadae nikafanya uchunguzi kumbe yule jamaa ni BWABWA (a gay)
Nikamshukuru Mungu kwa kuniepusha na dhambi ya kuua
Ila all in all; andika msg ambayo u are sure your spouse akiiona hatokasirika; ukitaka kufanya uhuni piga simu
messages noma sana maana hujui kule inapoenda inasomwa na watu wangapi