Simu za mikononi ni janga...

Simu za mikononi ni janga...

mtoto mpole

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2010
Posts
678
Reaction score
148
Simu ya mkononi ni kama roho ya pili ya mtu ukitaka kumjua vizuri mtu chunguza sana simu yake ya mkononi....

sasa naomba kujua kwanini wanandoa wengi hawapendi mume/mke ashike simu yake kuna nini zaidi kwenye hizo simu?

simu za mkononi imekua janga la kitaifa hasa hizi smart phone utakuta mume yupo busy na simu hata muda wa kulala alafu bila aibu utakuta anajiongelesha kwa mkewe yaan dah me addicted na twitter siku hizi hivi ni kweli haki hii jamani......nini kifanyike kukomesha hii hali yaan mimi nakasirikaga sana na haya masimu...
 
Mkuu hizi tabu zinatokea kwenye ndoa ambazo hazina uaminifu,either kati wanandoa anacheat au wote wanacheat.Ndoa ambazo hazina migogoro na kuna uaminifu swala la kushika simu ya mwenza ni kawaida sana.Thanks
 
Simu ya mkononi ni kama roho ya pili ya mtu ukitaka kumjua vizuri mtu chunguza sana simu yake ya mkononi....

sasa naomba kujua kwanini wanandoa wengi hawapendi mume/mke ashike simu yake kuna nini zaidi kwenye hizo simu?

simu za mkononi imekua janga la kitaifa hasa hizi smart phone utakuta mume yupo busy na simu hata muda wa kulala alafu bila aibu utakuta anajiongelesha kwa mkewe yaan dah me addicted na twitter siku hizi hivi ni kweli haki hii jamani......nini kifanyike kukomesha hii hali yaan mimi nakasirikaga sana na haya masimu...

Michepuko........
 
ah!smart phone sio tatizo tatizo ni ubazazi wa mwenye simu! kwani simu ndo inaongea ama kuchat si vidole na mdomo au? technology hoyeeee.
 
simu za mkononi kweli ni majanga maana kuna watu tayari ndoa zimevunjika, wengine wameshapata ugonjwa wa moyo n.k ila nakupa pole sana kwa kukosa raha kisa simu ya mwenzio..!
 
simu za mkononi kweli ni majanga maana kuna watu tayari ndoa zimevunjika, wengine wameshapata ugonjwa wa moyo n.k ila nakupa pole sana kwa kukosa raha kisa simu ya mwenzio..!
 
simu za mkononi kweli ni majanga maana kuna watu tayari ndoa zimevunjika, wengine wameshapata ugonjwa wa moyo n.k ila nakupa pole sana kwa kukosa raha kisa simu ya mwenzio..!
simu ya mkononi si majanga majanga ni mwenye simu
 
Wewe huna ndoa! Nini kinakuwasha? Subiri uwe na ya kwako utumie nokia tochi bata wewe

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Simu sio issue yangu hata akitaka atoke nayo its okey

Na yake vile vile nina uhuru wa kutosha

Usiku wa manane mtu anashindaje twita??
 
Mkuu hizi tabu zinatokea kwenye ndoa ambazo hazina uaminifu,either kati wanandoa anacheat au wote wanacheat.Ndoa ambazo hazina migogoro na kuna uaminifu swala la kushika simu ya mwenza ni kawaida sana.Thanks

Tatizo si wakati wote kuna ukosefu uaminifu katika ndoa ila kutumia muda mwingi kuchat na simu wakati mwingine kunapunguza mawasiliano katika ndoa.Unakuta mume karudi toka kazini badala ya kukaa na mkewe waongee wapeane habari za matukio ya siku hiyo na pia kuzungumza na watoto, badala yake mtu yuko busy na simu.
 
Tatizo si wakati wote kuna ukosefu uaminifu katika ndoa ila kutumia muda mwingi kuchat na simu wakati mwingine kunapunguza mawasiliano katika ndoa.Unakuta mume karudi toka kazini badala ya kukaa na mkewe waongee wapeane habari za matukio ya siku hiyo na pia kuzungumza na watoto, badala yake mtu yuko busy na simu.

Mkuu according to mtoa mada sidhani kama mtu atakuwa busy na simu lets say yupo JF au twitter anaperuzi then mwenza wake akitaka kushika simu awe mbogo.

Simu zinaficha mambo mengi aisee.
 
Back
Top Bottom