mtoto mpole
JF-Expert Member
- Mar 22, 2010
- 678
- 148
Simu ya mkononi ni kama roho ya pili ya mtu ukitaka kumjua vizuri mtu chunguza sana simu yake ya mkononi....
sasa naomba kujua kwanini wanandoa wengi hawapendi mume/mke ashike simu yake kuna nini zaidi kwenye hizo simu?
simu za mkononi imekua janga la kitaifa hasa hizi smart phone utakuta mume yupo busy na simu hata muda wa kulala alafu bila aibu utakuta anajiongelesha kwa mkewe yaan dah me addicted na twitter siku hizi hivi ni kweli haki hii jamani......nini kifanyike kukomesha hii hali yaan mimi nakasirikaga sana na haya masimu...
sasa naomba kujua kwanini wanandoa wengi hawapendi mume/mke ashike simu yake kuna nini zaidi kwenye hizo simu?
simu za mkononi imekua janga la kitaifa hasa hizi smart phone utakuta mume yupo busy na simu hata muda wa kulala alafu bila aibu utakuta anajiongelesha kwa mkewe yaan dah me addicted na twitter siku hizi hivi ni kweli haki hii jamani......nini kifanyike kukomesha hii hali yaan mimi nakasirikaga sana na haya masimu...