BI DADA KANUNUA CM MPYA...
Screen touch..!!! Mdada : bebi
mambwo Jamaa : poa nambie
Mdada : vipw umelalwa? Jamaa:
unasemaje? Cjakuelewa hapo.
mdada : nauliza umelalwa? Jamaa:
mmmh! Cjalala baby hata ucngiz cna.
Mdada : mim menyew cjalwala ----
mijitu inapiga kelelw hapa nje kwetu
hadi inaboo wa. Jamaa: unasema
kumaa? Mdada : kuna kelelwe hapa
nje ya numba yetu usingwizi hakuna
kabwisa. Jamaa: hahaha pole huny.
Mdada : bwebi mbona unanichekwa
sasa? Jamaa: jaribu kuandika vizuri
baby. Mdada : hehehehwehwehwe.
Cunajua simu mupya alafu skirini
tachi kila nikibinya elufi hii inakuja
elufi ingine. Pwelo bebwi wangu.
Jamaa : hahhaaa haya
myn...