BornTown
JF-Expert Member
- May 7, 2008
- 1,716
- 481
Jamaa mmoja alifiwa na rafikie mpenzi sasa wakajikusanya marafiki wote wakasema wao ndio watakao beba jeneza la mpendwa wao kwa ajili ya kwenda kuzika, walipo nyanyua jeneza na kuanza kutoka ndani ya nyumba simu ya mmoja wa marafiki ikaanza kulia kwa sauti kubwa wimbo aliokuwa ame save kwenye simu yake ni ile taarab ya JKT Kimasomaso mwanangu msimwone....